KERO Higher Education Loans Board (HESLB) imetucheleweshea malipo Wanafunzi wa Vyuo Vikuu, hatuna pesa za kujikimu

KERO Higher Education Loans Board (HESLB) imetucheleweshea malipo Wanafunzi wa Vyuo Vikuu, hatuna pesa za kujikimu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Bodi walikuwa wanasajili wa mwaka wa kwanza ili waunganishe na nyie mliopo chuo ila nakupa taarifa kule Zanzibar bado wanajaza fomu za mkopo.
 
Mwaka huu wengi hawajapangiwa mkopo na hata boom zimepunguzwa, nilikua nakubali hii serikali ya awamu ya sita ila kwa hili nina uhakika hawatoshinda Uchaguzi labda wafanya udanganyifu
 
Imbeni kama hawa
IMG-20241007-WA0000.jpg
 
Acha tu wanafunzi wanateseka sana, Kuna 1 ametoka familia yenye Hali duni amepewa mkopo wa 530,000 tu ,Hana chochote,imebidi tuombe michango Kwa watu Ili aweze kusajiliwa chuoni Yani mpk inaumiza sana. Bodi Hili waliangalie sana.
Bora hata huyo ana mkopo wengine hali duni na hawajapata.
 
Back
Top Bottom