Zigi Rizla
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 1,064
- 1,107
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachoshangaa nini? Hiyo ni approx $284,000. Inawezekana kbs kama CEO anaiingizia kampuni millions of dollar per Month. Usikariri.31.37M*20.58=652M tsh
Mkuu upo serious?analipwa sawa na milioni 600 za kitanzania kwa mwezi?
Ndio mkuu. CEO wa cooperative bank analipwa takriban 1.1million pesa za Kenya kila siku ya wiki including jumapili.31.37M*20.58=652M tsh
Mkuu upo serious?analipwa sawa na milioni 600 za kitanzania kwa mwezi?
Wakenya hao. Wazawa wote.Hapo ni mkikuyu au luo ?
Ksh 1.1M per day!!!!!!! Hiyo ni salary ya top CEOs in tz per month.Ndio mkuu. CEO wa cooperative bank analipwa takriban 1.1million pesa za Kenya kila siku ya wiki including jumapili.
Huyo Muriuki na wote walio hapo kwa orodha wanalipwa pesa nyingi sababu ya faida ambazo wanatengenezea wamiliki hisa (shareholders) ambao ndio wamiliki kampuni.
Mfano ni Equity Bank ambayo imepata faida ya ksh 36 billion mwakani kufikia August 2021. Kwa hiyo kulipa James Mwangi 5m kwa mwezi sio shida kwa equity. View attachment 2007246
Ivi 1.MKsh ni ngapi kibongo bongo?Ksh 1.1M per day!!!!!!! Hiyo ni salary ya top CEOs in tz per month.
Mpo mbali sana wezetu
Approx' 22.7M Tsh.Ivi 1.MKsh ni ngapi kibongo bongo?
AiseeApprox' 22.7M Tsh.
Hawa jamaa wanalipwa pesa nzuri sio mchezo. Asilimia ya watu wengi wataishi maisha yao hadi mwisho bila kuwahi miliki ata ksh 1 million kwa account. Ila ni hali ya dunia.Ksh 1.1M per day!!!!!!! Hiyo ni salary ya top CEOs in tz per month.
Mpo mbali sana wezetu
Ivi wakitangazwa ivi usalama wao unakuaje?Hawa jamaa wanalipwa pesa nzuri sio mchezo. Asilimia ya watu wengi wataishi maisha yao hadi mwisho bila kuwahi miliki ata ksh 1 million kwa account. Ila ni hali ya dunia. View attachment 2007327
Wako salama tu. Wanaendelea na maisha yao kama kawaida.Ivi wakitangazwa ivi usalama wao unakuaje?
Wahuni huni wa mjini wanawacheki tuWako salama tu. Wanaendelea na maisha yao kama kawaida.
Mfano huyu hapa mfupi ni Peter Ndegwa, CEO wa Safaricom akiwa Nakuru city mitaani kwa maduka kukagua jinsi watu wanaendesha huduma za Mpesa. View attachment 2007350
Wahuni huni wa mjini wanawacheki tu
Pesa yakenya. Ni madafu tuPesa ni ya kenya nyingine zilizobaki ni shilingi tu
No single white person, no single Indian or Arab, no single foreigner on the whole list. Wangekua wenzetu kusini hungeona Jina la Mwafrika mzawa hata mmoja. Na bado watakuambia eti Kenya tumetawaliwa na foreigners na wao wako huru.
Ewaaaa....my frend you nailed it[emoji23][emoji23]Ukiwa na mipesa kihivi unalipa wataalam wa mambo ya usalama wanakulinda kimya kimya, yaani wewe unaendelea na maisha yako bila kujua unalindwaje, mhuni akijichanganya anafumuliwa bila kujua ilikuakuaje, sio unatekwa kizembe kama yule Mo.....