Hii ahadi ya Mo Dewji ni kichekesho tu maana anajua kabisa Kilimanjaro Stars hawana uwezo wa kuleta ubingwa wa CECAFA

Hii ahadi ya Mo Dewji ni kichekesho tu maana anajua kabisa Kilimanjaro Stars hawana uwezo wa kuleta ubingwa wa CECAFA

Screenshot_20191217-175903.png


Nani kakwambia hela ya muhindi inaliwa kirahisi rahisi tu?
 
Alishasoma ramani nzima.
Mechi tatu wamefunga goli moja tu. Kocha Mgunda wa Coastal Union kweli kaucheza mdomoni
Muhindi mjanja mjanja,alijitengenezea headline huku akijua hamna kitu
 
Mo hata angesema atawapa kiasi fulani kwa mshindi wa tatu kili stars wangekosa
 
Back
Top Bottom