Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Ilipogongwa kengele katoka nduki kawa wa kwanza nikaona matumaini mwisho chali kaachwa kwa hatua kama 10 mwenyewe anapambana,hivi hawa ndo the best?
Jana mkenya kaongoza mita 100 kwa sekunde 10.1
Wanawake Kenya nafasi ya pili na tatu ziliangukia kwao ,kila mbio inayowahusisha naona wanarudi na medali.
Tanzania tunatia aibu, mshindani mmoja taasisi inapeleka benchi la ufundi watu 9.
Shame on you
Jana mkenya kaongoza mita 100 kwa sekunde 10.1
Wanawake Kenya nafasi ya pili na tatu ziliangukia kwao ,kila mbio inayowahusisha naona wanarudi na medali.
Tanzania tunatia aibu, mshindani mmoja taasisi inapeleka benchi la ufundi watu 9.
Shame on you