Hii aibu ya kukosa Penalti Simba waivue, sasa inatosha!

Hii aibu ya kukosa Penalti Simba waivue, sasa inatosha!

Club ya Simba karibuni imekua ikijikongoja katika upigaji wq penalt yaani simba ikipata tuta basi ujue mashabiki wanabana kende badala ya kushangilia kwani hawana uhakika na matokeo.

Wachezaji wanabahatisha tu na sikuhizi hadi wanaziogopa kuzipiga. Walifanyie mazoezi hili na wawaksimishe watu wanaoweza na kujiamini. Kocha amtumie Sakho na wakishindwa kabisa bora wawe wanamwachia Manula akazipige.

Penalty za simba hazina utofauti na kona
Awe anapiga Pablo.
 
Back
Top Bottom