Jitu jeusi
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 1,715
- 2,385
11. Usimuombe Pesa mwanaume asiye mme wako, au ndugu yako.
Hii ingefaa sana kwa kizazi hiki cha sasa.... we unaonaje???
Hii ingefaa sana kwa kizazi hiki cha sasa.... we unaonaje???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sikujua kama vyuma vimekaza mpk watu mnataka kuvibunia amri11. Usimuombe Pesa mwanaume asiye mme wako, au ndugu yako.
Hii ingefaa sana kwa kizazi hiki cha sasa.... we unaonaje???
Braza kwani huwa wanakushikia bunduki ili utoe pesa!!?11. Usimuombe Pesa mwanaume asiye mme wako, au ndugu yako.
Hii ingefaa sana kwa kizazi hiki cha sasa.... we unaonaje???
Ww n ngumu sana kuelewa, haya sio malalamiko ni ntizamo tu.... hakuna sehemu nimesema kuwa ni mimi au ni weweBraza kwani huwa wanakushikia bunduki ili utoe pesa!!?
Gris peleka Garage, huu n mtizamo tuwekeni gris, loooh!
Achana na habari za vyuma wewe, hapa tunaangalia namna ya kuwaokoa mabinti na janga la omba omba, maana hii inaweza kuleta madhara kwaosikujua kama vyuma vimekaza mpk watu mnataka kuvibunia amri
haukukosea kujiita jitu jeusi kumbe11. Usimuombe Pesa mwanaume asiye mme wako, au ndugu yako.
Hii ingefaa sana kwa kizazi hiki cha sasa.... we unaonaje???
Iyo ipo mbona tangu miaka 2000 iliyopita inasema hivi, "USITAMANI MWANAMKE ASIYE MKE WAKO"Amri ya 12 nayo ingekuwa
Usimuombe Papuchi mwanamke asiye mke wako.
Hii Ukizingatia basi hata hiyo ulioitaja ni Nadra kukutokea.Iyo ipo mbona tangu miaka 2000 iliyopita inasema hivi, "USITAMANI MWANAMKE ASIYE MKE WAKO"
Utakuwa umwkumbuka vzr