Tengeneza Njia
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 121
- 205
Nimeona kuna shule huko Mtwara mwanafunzi ameripoti na mtoto wake mchanga shuleni baada ya kujifungua, nawaza:
1. Muda wa masomo mambo yanakuwaje? Kuna mtu anakaa na mtoto nje na binti anaendelea kusoma?
2. Binti anapata nafasi ya kutoka toka nje/ au humo humo darasani kumnyonyesha kichanga?
3. Kuna msaada wa kisaikolojia, kimwili, akili etc. unatolewa kwa huyu mama mwenye mtoto maana process ya kupona tu kwa mzazi katika nyanja hizi, na bado aweke akili yake darasani, kumtunza mtoto mpya ukizingatia na yeye ni mtoto ni balaa!
3. Au kuna vyumba maalumu vya mama na mtoto kujisitili hapo shuleni?
4. Mwisho, au anafundishwa kwa wakati wake mwenyewe na sio kujichanganya na wengine?
1. Muda wa masomo mambo yanakuwaje? Kuna mtu anakaa na mtoto nje na binti anaendelea kusoma?
2. Binti anapata nafasi ya kutoka toka nje/ au humo humo darasani kumnyonyesha kichanga?
3. Kuna msaada wa kisaikolojia, kimwili, akili etc. unatolewa kwa huyu mama mwenye mtoto maana process ya kupona tu kwa mzazi katika nyanja hizi, na bado aweke akili yake darasani, kumtunza mtoto mpya ukizingatia na yeye ni mtoto ni balaa!
3. Au kuna vyumba maalumu vya mama na mtoto kujisitili hapo shuleni?
4. Mwisho, au anafundishwa kwa wakati wake mwenyewe na sio kujichanganya na wengine?