Hii biashara imenichanganya

Hii biashara imenichanganya

asante Mom basi hii biashara haina mzunguko wa faida..ina maana laki tatu nusu as faida ukigawanya siku 44 ambayo ni ndo hizo wiki 6 unakuta kwa suku ulikuwa unahangaikia faida ya 7000/- dah na kuku wanavyosumbua vile..mhhh hapana

Wiseboy, hiyo laki tatu nusu waweza kuipata kila 2 weeks kama utaweza kuweka mzunguko mzuri wa ufugaji. mfano wako hapo juu kuku 1000 nitapata faida katika ya laki8-1m nikifuata kanuni bora za ufugaji. hapo bado kuna vi faida vidogo kama kuuza mbolea.
 
Ningekuwa mimi wewe nimepata hiyo 6m/=;
ningechimba kisima pale shamba na kufanya greenhouse ya nyanya/maua na kufuga kuku wa kienyeji;
 
Ningekuwa mimi wewe nimepata hiyo 6m/=;
ningechimba kisima pale shamba na kufanya greenhouse ya nyanya/maua na kufuga kuku wa kienyeji;

Mamdenyi kuhusu green house ningependa kuonyeshwa mtu aliyefanikiwa hapa Dar ndiyo nitajiunga. Ninavyozielewa.ni mahsusi kwenye mikoa ya baridi. Marketers wa green house wanakuambia kukutengenezea ni 5 million, kuchimba kisima, pump nabmazqgazaga yote ni km 7M. Kuzika pesa yote hiyo bila kuona km Tomaso na kupata mchanganuo ni kujitafutia majanga
 
niko mkoani huku hiyo ndiyo bei general na kuku tunauza between 5-6 weeks. kwa Dar nimeona bei ni 5000 kutokana na kuwa mnawauza at 4-5weeks so hata chakula hakitumiki kingi kama anayefuga mikoani.

Thanks
 
Mi nitaifanya mkoa wa pwani,
Siyo lazima kila kitu uone kwa watu,
acha nao waone kwako kwanza;

Hiyo 7m/= hata usipofanyia greenhouse itaisha pia;
Mamdenyi kuhusu green house ningependa kuonyeshwa mtu aliyefanikiwa hapa Dar ndiyo nitajiunga. Ninavyozielewa.ni mahsusi kwenye mikoa ya baridi. Marketers wa green house wanakuambia kukutengenezea ni 5 million, kuchimba kisima, pump nabmazqgazaga yote ni km 7M. Kuzika pesa yote hiyo bila kuona km Tomaso na kupata mchanganuo ni kujitafutia majanga
 
Wewe ogopa kufuga mi nimeshamaliza kujenga mabanda na week ijayo naaanza kufuga. Calculate risk mzee kwa nn uanze na kuku 1000 wakati unaweza kuanza na kuku 100 ukapata uzoefu kama unaogopa kuipoteza hiyo 6mil yako? Soko anza na vibanda vya chips, majirani mpaka wanunuzi wa jumla. Kama huna wanunuzi wa jumla kuku wakishakuwa tayari chinja safisha weka kwa friji anza kuuuzia watu wa chips kuanzia mtaaani kwa 5500 mpaka mahotelini. Tatizo vijana mnataka mil6 ikupe faida ya mil 6 ndani ya mwezi mmoja mbaya zaidi nidhamu ya pesa hamjifunzi
 
bajeti ya mom na muinjilisti ziko sawa wewe wamekuchanganya. Mie naifanya muda inazungusha hela haraka nalishia na kukuzia chotara.
 
Maybe, ungelifanya vizuri zaidi kama uki invest kwenye mashine ya kutotoa vifaranga. (incubator) Baada ya hapo ufuge breed nzuri ya kienyeji- kama una eneo la free roaming chicken. Nadhani soko la kienyeji chicken ni kubwa zaidi na bei ni nzuri na kama kuku watakuwa wana roam kujiangaikia kula utawafidia mlo kidogo tu na madawa. Hapo pia unaweza kujitotolea vifaranga vya broiler na layers kwa bei poa na ukapata faida kidogo yakuridhisha. Nadhani incubator ya 2m inatosha kwa kuanzia. Ila ukinunua ya mchina imekula kwako.
 
hbr jaman....
kuna sehem nategemea kupata 6m sasa nilitaka kuweka kwenye broilers sasa mahesab mbona yanaleta lost

kwa kuku
mmoja
Wiki ya 1 15g*kuku 1000=15,000 sawa na kilo 15kwa siku na sawa kilo 105 kwa wiki na ni sawa na mifuko 2 ya chakula (2bags@50,000/ )
=100,000

Wiki ya 2 25g *kuku 1000=25,000 sawa na kilo 25kwa siku na sawa kilo 175 kwa wiki na ni sawa na mifuko 4ya chakula (4bags@50,000/ )
=200,000/

Wiki ya 3 35g *kuku 1000=35,000 sawa na kilo 35kwa siku na sawa kilo 245 kwa wiki na ni sawa na mifuko 5 ya chakula (5bags@50,000/ )
=250,000/-

Wiki ya 4 50g *kuku 1000=5000 sawa na kilo 50 kwa siku na sawa kilo 350 kwa wiki na ni sawa na mifuko 7ya chakula (7bags@50,000/ )
=350,000/-

Wiki ya 5 65g *kuku 1000=65,000 sawa na kilo 65kwa siku na sawa kilo 455 kwa wiki na ni sawa na mifuko 9 ya chakula (9bags@50,000/ )
=450,000/-

Wiki ya 6 85g
*kuku 1000=85,000 sawa na kilo 85kwa siku na sawa kilo 595 kwa wiki na ni sawa na mifuko 12ya chakula (12bags@50,000/ )
=600,000/-

Wiki ya 7 105g *kuku 1000=105.000 sawa na kilo 105kwa siku na sawa kilo 735 kwa wiki na ni sawa na mifuko 15 ya chakula (15bags@50,000/ )
=750,000/-


Wiki ya 8 120g *kuku 1000=120,000 sawa na kilo 120 kwa siku na sawa kilo 840 kwa wiki na ni sawa na mifuko 17 ya chakula (17bags@50,000/ )
=850,000/-

JUMLA YA GHARAMA YA CHAKULA NI 3,550,000 PLUS GHARAMA YA KIFARANGA KIMOJA 1500 sawa na 1,500,000/ inakuwa jumla 5.5m
sasa ukaja kuuza kwa 5000 si ni sawa na 5m bado sijaweka gharama za dawa ....mhudumu...transport cost tuseme inafika 6m sasa hapa ni biashara au hasara? je mnaofanya hii project nyie mnaifanyaje kupata faida? mbona mm nachemka

Mkuu fuga huyu:
Z
Utaniambia!
 
Nakushauri kama mtaalam wa biashara tafuta biashara yenye kuwekeza pesa kidogo kwanza kuliko kuanza na fenda nyingi,
 
mkuuu yan imenistua sana hii bsness...lakini mbona watu wanaikimbilia eti maraa ooh nimejenga kwa broilers

waongo wakubw ana ukichunguza sana utakuta ni biashara ya kina mama,
wakijibana saba nunatkuw amtu anapata faida ya 50,000/= ila muda mwingi ni hasara na kinachowasaidia ni kuwa wanakuwa busy lakini hakuna wanachopata, kafuge mbuzi tu ndugu yangu tyena ukipata wale mapacha utafaidi sana.
 
Wewe ndo muongo mimi ni shahidi wa hilo nimefanyia kazi hili la ufugaji,
ila nikaachana nao kutokana na kwamba hawana soko la uhakika eneo nililopo nikahamia kwenye kuku wa kienyeji,
waongo wakubw ana ukichunguza sana utakuta ni biashara ya kina mama,
wakijibana saba nunatkuw amtu anapata faida ya 50,000/= ila muda mwingi ni hasara na kinachowasaidia ni kuwa wanakuwa busy lakini hakuna wanachopata, kafuge mbuzi tu ndugu yangu tyena ukipata wale mapacha utafaidi sana.
 
Wewe ndo muongo mimi ni shahidi wa hilo nimefanyia kazi hili la ufugaji,
ila nikaachana nao kutokana na kwamba hawana soko la uhakika eneo nililopo nikahamia kwenye kuku wa kienyeji,

Wa kienyeji soko lake likoje nataka nianze kuwafuga?
 
Nikirudi kwa mleta uzi Wiseboy, ushauri alikupa Zanzibar Spices nakubaliana nao. Kila mtu.ana staili yake ya kushauri. Nami najenga frame za biashara kwa biashara hii hii ya kuku broilers. Ingawa napata changamoto ya kulaliwa bei ya kuku at the end of the day. Ila sikati tamaa wala siachi kufuga. Kwanza kabisa huo.mchanganuo wako si wa kweli. Bado hujafanya research vzr. Bei ya juu ya kifaranga ni 1400, interchick. Nimenunua leo vifaranga vya Mkuza kwa 1000/-. Chakula cha kuku ninachotumia hakizidi elfu 43. Kuku wanauzwa kuanzia wiki ya 4-5. Kwa sasa huwa naweka kuku batch 2, elfu 1 vifaranga na elfu 1 wakubwa. Ila nilianza na kuku 400 na walikuwa wanatumia mifuko km 26. Mahesabu ya Mom nakubaliana nayto. Fanya hesabu km kuku 400 mifuko 24, kuku 1000 mifuko mingapi. Na pia kutokana na soko wakati mwingine ni changamoto, kwa wewe unayeanza sikushauri uanze na 1000. Anza angalau na 500

Hivi vifaranga vya mkuza vinapatikana wapi? navitafuta ila kuna dalali anasema eti ni Tshs 1,400/= naomba contact za huyo muuzaji ndugu yangu
 
Back
Top Bottom