mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Ndio ukweli wenyewe huu,kama inabaniwa fungu na inatoa output kubwa hivyo kuna sehemu tunakosea kuchagua kama taifa.Na usiwasahau wale wapuuzi wanaosema nchi hii inategemea wakulima kwa 80% wkt huo huo wakiipa bajeti kiduchu kuliko maelezo huku wakisubiri Miujiza itokee.
Tukitia nguvu zaidi kupigia kelele haya ile dhana kwamba tunataka mabadiriko kwa kumsaidia kiongozi itajipambanua.vinginevyo ndio kila mtu anaonekana hana nia njema.