Ndio ukweli wenyewe huu,kama inabaniwa fungu na inatoa output kubwa hivyo kuna sehemu tunakosea kuchagua kama taifa.Na usiwasahau wale wapuuzi wanaosema nchi hii inategemea wakulima kwa 80% wkt huo huo wakiipa bajeti kiduchu kuliko maelezo huku wakisubiri Miujiza itokee.
Naunga mkono hoja kwa 100%.Ndio ukweli wenyewe huu,kama inabaniwa fungu na inatoa output kubwa hivyo kuna sehemu tunakosea kuchagua kama taifa.
Tukitia nguvu zaidi kupigia kelele haya ile dhana kwamba tunataka mabadiriko kwa kumsaidia kiongozi itajipambanua.vinginevyo ndio kila mtu anaonekana hana nia njema.
Mzee wa nyuma ya keyboard.Naunga mkono hoja kwa 100%.
Niambie mzee wa kulia lia mitandaoni.Mzee wa nyuma ya keyboard.
Thanks!Pole but first relax.....halafu mwambie Mungu akusaidie ,nimemuona Mungu akifanya mambo ambayo kwangu ilikuwa ni ngumu,lakini hata kwa yale niliyodhani ningeweza kufanya mwenyewe nilishindwa mpaka nilipomuomba Mungu msaada.
Mfano niliwahi kukosa wapangaji miezi3 mfululizo na nyumba ni classic ila nilipoomba wateja walimiminika from no where.
So muamini na mtegemee Mungu hakuna Neno gumu kwake,Siku moja kwa Mungu ni kama miaka 1000,so anaweza kufanya jambo within a second.....hii dunia tu unayoiona aliiumba kwa siku 5 tu siku ya sita ndo akamuumba mwanadamu,kifupi hashindwi na anatuwazia yaliyo mema.
Madalali waliopo wanadili na ile miwa ya kawaida ya juice.hii nlonayo ni migeni kdgo machon pao,japo ina sukar kuliko iliozoeleka sokonWewe hiyo kazi hutaweza tafuta dalali, naamini kwenye hiyo kazi kuna madalali wake. Ukimpata usimueleze hayo uliyotueleza
Kwa maana hiyo hapo ni ww kutengeneza awareness kwa wakamua juice kua hata hiyo miwa yako inafaa kwa juice itakuchukua muda kwa mwanzo lakini wakishaijua utakua una push mzigo kiulaini tu naamini shamba bado mzigo upo wa kutoshaMadalali waliopo wanadili na ile miwa ya kawaida ya juice.hii nlonayo ni migeni kdgo machon pao,japo ina sukar kuliko iliozoeleka sokon
Amina.Pole but first relax.....halafu mwambie Mungu akusaidie ,nimemuona Mungu akifanya mambo ambayo kwangu ilikuwa ni ngumu,lakini hata kwa yale niliyodhani ningeweza kufanya mwenyewe nilishindwa mpaka nilipomuomba Mungu msaada.
Mfano niliwahi kukosa wapangaji miezi3 mfululizo na nyumba ni classic ila nilipoomba wateja walimiminika from no where.
So muamini na mtegemee Mungu hakuna Neno gumu kwake,Siku moja kwa Mungu ni kama miaka 1000,so anaweza kufanya jambo within a second.....hii dunia tu unayoiona aliiumba kwa siku 5 tu siku ya sita ndo akamuumba mwanadamu,kifupi hashindwi na anatuwazia yaliyo mema.
Pole sana mkuu, lakini ungewaza mapema ungeanzisha sehemu kma 3 za kuuza juisi ya miwa ukaweka vijana ungeokoa kitu.
oohhh!!Poapoa mkuu!Hivi Tanzania kiwanda cha sukari kipo kimoja tu?Masahamba ya watu binafs.coz kiwanda kina mashamba yao pia
sasa serikali ingejuaje kama huyu jamaa ana tani 10? alienda kuripoti serikali za mitaa? alienda wilayani? aseeSerekali ya CCM ni noma sana!Wimbo ni serekali inayowajali wanyonge kumbe wakulima wa mazao muhimu wanapata taabu sana.Mnyonge pole sana
Hujanielewa!Maana kubwa ya comment yangu ni kwamba hii serekali huwa inajinasibu kuwa ni serekali ya viwanda lakini kumbe haijajenga viwanda vya yale mazao muhimusasa serikali ingejuaje kama huyu jamaa ana tani 10? alienda kuripoti serikali za mitaa? alienda wilayani? asee
ni jukumu la mzalishaji kutafuta soko la mazao yake, sio serikali. serikali kazi yake ni kusimamia bei za mazao na kuziadjust pale penye uhitaji ili mnunuzi asikandamizwe na mzalishaji pia asikandamizwe
huyu mzalishaji kabla ya kukata hio miwa ilibidi atafute soko la uhakika na ikiwezekana awe na contacts za madalali wa uhakika wanaolijua soko la miwa.
tusiwe wavivu wa kufikiri sio kila kitu tunalaumu serikali.
kuna msemo unasema HOPE FOR THE BEST, BUT PREPARE FOR THE WORST.
kama mjasiriamali, inabidi uishi na huu msemo siju zote za uhai wako.
kuna viwanda vitano vya sukari nchini. swala linakuja palepale kwa mzalishaji kwenye kutafuta soko la mazao yake, Je amejaribu kuwasiliana na hivyo viwanda vyote hapo na akakosa soko la mazao yake? hivi vitu sio tunalaumu tu mkuu.Hujanielewa!Maana kubwa ya comment yangu ni kwamba hii serekali huwa inajinasibu kuwa ni serekali ya viwanda lakini kumbe haijajenga viwanda vya yale mazao muhimu
Viwanda vitano nchi nzima havina uwezo wa kuhimili miwa ya wakulima nchi nzima kwa sababu viwanda hivi pia vina mashamba yake ya miwa.Mimi ninachoona hapa ni kwamba kuna sera mbovu kwa sababu kama viwanda hivi vina mashamba yake ya miwa je wakulima watauza miwa yao wapi?!kuna viwanda vitano vya sukari nchini. swala linakuja palepale kwa mzalishaji kwenye kutafuta soko la mazao yake, Je amejaribu kuwasiliana na hivyo viwanda vyote hapo na akakosa soko la mazao yake? hivi vitu sio tunalaumu tu mkuu.