Hii biashara ya Bitcoin/ Crypto ina uhalisia wowote?

Hii biashara ya Bitcoin/ Crypto ina uhalisia wowote?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wakuu habari?

Kuna watu nilikuwa nachat nao wako huko nje, wakawa wananishawishi niingie kwenye hii biashara; wao watakuwa wanachezesha akaunti, na baada ya kama siku saba kuna gawio la faida.

Kianzio cha chini kuwekeza ni dolla 200.

Sasa wakuu, nimeingiwa na hofu, je hii biashara ina uhalisia wowote?​
 
Wakuu habari?

Kuna watu nilikuwa nachat nao wako huko nje, wakawa wananishawishi niingie kwenye hii biashara; wao watakuwa wanachezesha akaunti, na baada ya kama siku saba kuna gawio la faida.

Kianzio cha chini kuwekeza ni dolla 200.

Sasa wakuu, nimeingiwa na hofu, je hii biashara ina uhalisia wowote?​
Haina uhalisia wamefeli hao
 
Biashara ya digital currency ni halisi and it makes millionaires....tatizo la hapa Tanzania ni uvivu wa kutafuta maarifa Kwanza. Elimu kuhusu hizi platforms ni muhimu Sana....
Inaonekana utapeli kwakuwa hatuna elimu na wala hatujishughulishi.
Elimu
Elimu
Elimu.
 
Wakuu habari?

Kuna watu nilikuwa nachat nao wako huko nje, wakawa wananishawishi niingie kwenye hii biashara; wao watakuwa wanachezesha akaunti, na baada ya kama siku saba kuna gawio la faida.

Kianzio cha chini kuwekeza ni dolla 200.

Sasa wakuu, nimeingiwa na hofu, je hii biashara ina uhalisia wowote?​
Fursa haitafuti watu, bali watu hutafuta fursa.
Ukiona fursa inakutafuta jua wewe ndie fursa yenyewe.
 
Uhalisia upo, ila uhalisia huo ni huu; wewe ndio fursa ili wao wapate gawio.

Watu huwa hawatafutani kwenye hela inayoingia kwa urahisi.

Maelezo mengi mazuri na ushawishi ila mwisho ni majuto.
 
Mababu zetu walikua wanachezea madini tatizo lilikua ni nini ni MAARIFA.. kaa chin jifunze
 
Wakuu habari?

Kuna watu nilikuwa nachat nao wako huko nje, wakawa wananishawishi niingie kwenye hii biashara; wao watakuwa wanachezesha akaunti, na baada ya kama siku saba kuna gawio la faida.

Kianzio cha chini kuwekeza ni dolla 200.

Sasa wakuu, nimeingiwa na hofu, je hii coinbiashara ina uhalisia wowote?​
Biashara ya Bitcoin/crypto ni halisi kabisa,......endapo:-
1.utafungua akaunti wewe mwenyewe Kwa known registered exchanges na kununua crypto uipendayo
2.utahamisha hizo pesa kwenye wallet yako mwenyewe uphold
3.utanunua USDT kwenye exchanges kisha utrade wewe mwenyewe
Kinyume na hapo ni utapeli mkuu.
Tarehe hio kama ungenunua hizo Bitcoin ungekua na faida ya zaidi ya 100% hadi sasa
 
Back
Top Bottom