Hii biashara ya makorokoro imekaaje wadau?

Hii biashara ya makorokoro imekaaje wadau?

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Kuna hii biashara ya kununua vitu vilivyotumika,kwa mfano vitanda,masofa viti ndoo,milango ya aluminium, mbao, mazulia, na zingine kibao hii imekaaje, kuna waliokwisha ifanya, mtaji kiasi gani kwa kuanza, wenye uzoefu wowote naomba anijulishe
 
polisi kwako itakua n sehem rafik sana, hasara n za kugusa japo n biashara unayoweza kuiendesha bila kua na mtaj mkubwa
 
Kuna hii biashara ya kununua vitu vilivyotumika,kwa mfano vitanda,masofa viti ndoo,milango ya aluminium, mbao, mazulia, na zingine kibao hii imekaaje, kuna waliokwisha ifanya, mtaji kiasi gani kwa kuanza, wenye uzoefu wowote naomba anijulishe
Hiii biashara ina ugumu kiasii, mimi nafanya nikiwa na lesenii lakinii napata changamoto nyingii.

Unaweza kujaribu lakinii utakua shamba la polisi na serikalii za mitaaa
 
Back
Top Bottom