Hii Chuki inatokana na nini? Hili jambo limeusononesha moyo wangu

chuki imeanza kwa mwenye mkoa. Imeshuka kwa Raia
 
Hiyo ni kweli,kuna siku nilikanyaga deli LA mama mmoja LA kuwekea maandazi sikuliona bahat mbaya,wewewee wale kina mama walitaka kunigawana aisee!!
Ikabidi ninunue maandazi yote pamoja na hela ya kununulia deli jingine jipya!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukio la kukanyaga bata lilirushwa Live kwenye TV,watu wengi walikuwa wanakulaumu kwa kuendesha ukiwa umelewa,ulikuwa unanuka pombe ya komoni,dereva ulikuwa ni ka mtu fulani kafupi sana kenye meno yaliyochomoza nje ya mdomo,na macho mekundu sana,alafu ile uliyokuwa anaendesha si ni Corolla humu nimeshangaa sana unasema ulikuwa anaendesha benz,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…