Hii Coming 2 America sijaielewa...

Hii Coming 2 America sijaielewa...

Bora hela yangu ningeingia escort Tz Nika mbook tally Hunter kuliko kupoteza hela yangu kuangalia ile movie
Yani nimeidownload nikaitazama yani kwakweli ni movie mbovu kuliko hata nlivyofikiri yani story yake ni kama wanaunga unha vipande miziki kila mahali. Ni ya kifala nahs hata neno fala halitoshi
 
Hii kitu ndio inawafanya madirector na owners original wa movie kali wasifanyie Reboot ya sequel zilizotamba miaka hiyo........

Sababu ukibugi kidogo tu unaharibu heshima ya movie original.

Tazama kama terminator hii ya mwisho upuuzi waliofanya....... Unamuuaje John Conor kwa mfano na kuweka terminator wa kike tena wa kipuuzi hata hapendezei kuwa cyborg.

Tazama reboot ya Ghostbusters, upuuzi mtupu wamefanya movie hadi imeonekena ni kituko......

Kuna movie inatiwa Back to the future, ni sequel ya miaka ya 1980's na early 1990's, hii movie hadi leo wanatamani sana kuifanyia reboot ila director anaogopa sana kuiharibia heshima yake. Plus original actor wake alipatwa na condition ya mwili inaitwa Parkinson's disease.
 
Hii kitu ndio inawafanya madirector na owners original wa movie kali wasifanyie Reboot ya sequel zilizotamba miaka hiyo........

Sababu ukibugi kidogo tu unaharibu heshima ya movie original.

Tazama kama terminator hii ya mwisho upuuzi waliofanya....... Unamuuaje John Conor kwa mfano na kuweka terminator wa kike tena wa kipuuzi hata hapendezei kuwa cyborg.

Tazama reboot ya Ghostbusters, upuuzi mtupu wamefanya movie hadi imeonekena ni kituko......

Kuna movie inatiwa Back to the future, ni sequel ya miaka ya 1980's na early 1990's, hii movie hadi leo wanatamani sana kuifanyia reboot ila director anaogopa sana kuiharibia heshima yake. Plus original actor wake alipatwa na condition ya mwili inaitwa Parkinson's disease.
Kwakweli yani movie ni ya kifala kiasi kwamba nomejikuta nimesahau hata kama natazama movie nikawa bsy na simu. Rotimi mle yupo yupo tu,story haieleweki yani kama wameunga unga vitu tu. Miziki kila baada ya dakika 1. Kwakweli ni movie ya kirofa kupita kiasi
 
Hii kitu ndio inawafanya madirector na owners original wa movie kali wasifanyie Reboot ya sequel zilizotamba miaka hiyo........

Sababu ukibugi kidogo tu unaharibu heshima ya movie original.

Tazama kama terminator hii ya mwisho upuuzi waliofanya....... Unamuuaje John Conor kwa mfano na kuweka terminator wa kike tena wa kipuuzi hata hapendezei kuwa cyborg.

Tazama reboot ya Ghostbusters, upuuzi mtupu wamefanya movie hadi imeonekena ni kituko......

Kuna movie inatiwa Back to the future, ni sequel ya miaka ya 1980's na early 1990's, hii movie hadi leo wanatamani sana kuifanyia reboot ila director anaogopa sana kuiharibia heshima yake. Plus original actor wake alipatwa na condition ya mwili inaitwa Parkinson's disease.
Kweli mkuu, hiyo sequel niliipenda sana. Baba alikujaga na muvi nyingi za VHS wakati anarudi toka states kwenye 90s hivi, hiyo muvi ilikuwemo pia. Michael J. Fox alitisha Sana, huwa nawish sana nione muendelezo wake one day
 
Back
Top Bottom