donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Mkuu, kwa wazee wa zamani, alikua anaweza kupredict kifo chake. Hujawahi sikia zile mzee anawaita wanae wote anawapa wosia na kuwaaambia kabisa kwamba kesho mi naondoka?Mi sikuelewa yule mfalme alivyokufa huku msiba wake ukiendelea. Na watu wanaimba nyimbo za maombolezo.
Yaani siku ya msiba wake ndio akafa!!
Hii ni Bongo muvi. [emoji23]
Mkuu, black panther hujaielewa wewe tu, so far ndio muvi ya Marvel iliyo gross kupita muvi zote. Rest in Peace Chadwick BossmanMm namkubaligi Rambo tu huko American movies. Kuna ile movie sijui wakanda alikuwepo na yule mdada mkenya bonge la promo nikaona niitafute, siku nimetulia kwenye Tv naona utopolo tu. Bora hata wazungu ukisikia Viking, Game of Throne unaona kabisa kitu chenyewe. Movie unaangalia haina mzuka hadi unatafuta ya kutafasiri ya dj Mark bado imepoa kama uji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikua anatembea kama joti. Wakati tushazoea Wesley Snipes sio mtu wa mchezo mchezo[emoji23] yule jamaa bangi tupu jinsi alivyokuwa anatembea mimi basi hoi, yani utadhani sio yule wa Bride na yale manyonya damu
Hakuna sehemu nimeisikia....ingawa wanadai utakuwepo kwenye compilation album ya sound track. Sasa swali langu ni kwamba itakuwepo kwenye compilation album wakati kwenye movie husika haijasikika pahala...how this could be?Hilo lisongi la Domo lipo?
Wesley Snipes mwanaume mgumu anatembea Kama kakata center bolt vile, Muvi ina maskhara saana ile.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikua anatembea kama joti. Wakati tushazoea Wesley Snipes sio mtu wa mchezo mchezo
Movie kali kinoma, rotimi katisha sana.
scene 3 mkuu siyo mbiliHey he participated kwenye scene mbili.
thought ni comedy. wame adapt modern comedy with sense of humor, sidhani kama ina matusi sana. yapo lakin yamefichwa katika manenoJamani maoni yenu kuhusu hili dude, naliona.
Lina matusi mno
Haifai kwa watoto
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
black dont crack
kila mtu ana mapenzi yake. ana taste yake kwenye movies. hollywood wana taste yao.. korean movie wana taste yao.. indian movie wana taste yao.Movie ya kawaida sana. Bora niendelee Kuangalia korean movies.
Af kwann mnaangaliaga Hollywood movies? wakati Kuna watu kama wakorea wanatengeneza good movies?
Rotimi Kama amecameo tu, Sasa katishaje mle? Si Bora hata Erick mwaiRossMovie kali kinoma, rotimi katisha sana.
Jamaa hata muvi hjaona huyuHey he participated kwenye scene mbili.