Hii dhana ya kumzibua mtoto masikio ni kweli au maneno tu?

Hii dhana ya kumzibua mtoto masikio ni kweli au maneno tu?

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
Nawasalimuni kwa jina la JMT?

Kama kichwa kinavyoeleza je ni kweli mtoto akizaliwa kuna kipindi wazazi wake wanatakiwa kukutana kimwili(kufanya ngono) ili kumzibua masikio?

Kama hawajakutana je kuna madhara kwa mtoto?

Kama ni kweli ni baada ya siku ngapi baada ya kujifungua?

Kwa singomaza nao watoto wao walizibuliwa na nani wakati wameachana na wenzi wao?

Asanteni
 
Nawasalimuni kwa jina la JMT?

Kama kichwa kinavyoeleza je ni kweli mtoto akizaliwa kuna kipindi wazazi wake wanatakiwa kukutana kimwili(kufanya ngono) ili kumzibua masikio?

Kama hawajakutana je kuna madhara kwa mtoto?
Kama ni kweli ni baada ya siku ngapi baada ya kujifungua?

Kwa singomaza nao watoto wao walizibuliwa na nani wakati wameachana na wenzi wao?

Asanteni
Imani za kihuni tu hizo
 
Back
Top Bottom