Hata kubemenda ni dhanaWacheni kubemenda watoto
Fikiri juu ya uchumi
Hata kuzibua masikia ni dhana tu,maneno mbofumbofuHata kubemenda ni dhana
Hakunaga kitu kama hiyo in real world
[emoji23]Hii ni janja janja iliyoandaliwa kwa akili Sana na wanaume (waume na wakware) ili wapate mbunye kwa wanawake wanaonyonyesha. Maana huwa wanabana Sana.
Sexless kungwi la kitaa.
Imani za kihuni tu hizoNawasalimuni kwa jina la JMT?
Kama kichwa kinavyoeleza je ni kweli mtoto akizaliwa kuna kipindi wazazi wake wanatakiwa kukutana kimwili(kufanya ngono) ili kumzibua masikio?
Kama hawajakutana je kuna madhara kwa mtoto?
Kama ni kweli ni baada ya siku ngapi baada ya kujifungua?
Kwa singomaza nao watoto wao walizibuliwa na nani wakati wameachana na wenzi wao?
Asanteni
NAKAZIA.Hata kubemenda ni dhana
Hakunaga kitu kama hiyo in real world
Umesema kweli mkuu, imani za kistaarabu zimechakachuliwa saana nawahuni, hizo Janjajanja tu zakutafuta watu wakuwaliza...Imani za kihuni tu hizo