UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,753
- 12,932
Usinchoshe na nsikuchoshe,Tusichoshane!
Hivi huyu Beki anayeitwa "KISIKI CHA MPINGO" mliyemnunua kutoka huko kwa Ndugu zenu ndiye mnayemtegemea amkabe PACOME au labda kuna mwingine tuendelee kusubiri?
Pale mbele kuna Dubwana liitwalo DUBE
Kuna mpiga zeze na Marimba aitwaye ZENGELI,huyu yeye huwa hajulikani anacheza namba ngapi 😹
Pembeni/Kati kuna mzimu wa Afrika ujulikanao kama PACOME,maiwasuuuuuu!
Pale Kati kidogo ya Mbele kuna Mlalahoi mmoja anaitwa AZIZ KI, Uwi Uwi Uwi!
Jamani jamani jaman!
Nisiwaogopeshe mwaya, michezaji ya Utopoloni inatumia uchawi na dawa ya Uchawi ni CHE MALONI FORONYA & LAWINO 😹
PIA SOMA
- Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC
- Beki Lameck Lawi amesaini Simba kwa ajili ya msimu wa 2024/2025
Hivi huyu Beki anayeitwa "KISIKI CHA MPINGO" mliyemnunua kutoka huko kwa Ndugu zenu ndiye mnayemtegemea amkabe PACOME au labda kuna mwingine tuendelee kusubiri?
Pale mbele kuna Dubwana liitwalo DUBE
Kuna mpiga zeze na Marimba aitwaye ZENGELI,huyu yeye huwa hajulikani anacheza namba ngapi 😹
Pembeni/Kati kuna mzimu wa Afrika ujulikanao kama PACOME,maiwasuuuuuu!
Pale Kati kidogo ya Mbele kuna Mlalahoi mmoja anaitwa AZIZ KI, Uwi Uwi Uwi!
Jamani jamani jaman!
Nisiwaogopeshe mwaya, michezaji ya Utopoloni inatumia uchawi na dawa ya Uchawi ni CHE MALONI FORONYA & LAWINO 😹
PIA SOMA
- Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC
- Beki Lameck Lawi amesaini Simba kwa ajili ya msimu wa 2024/2025