Hii Dunia ina Vituko sana, eti Lameck Lawi ndiye wa kumkaba PACOME au yupo Mwingine tumsubiri?

Hii Dunia ina Vituko sana, eti Lameck Lawi ndiye wa kumkaba PACOME au yupo Mwingine tumsubiri?

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Usinchoshe na nsikuchoshe,Tusichoshane!

Hivi huyu Beki anayeitwa "KISIKI CHA MPINGO" mliyemnunua kutoka huko kwa Ndugu zenu ndiye mnayemtegemea amkabe PACOME au labda kuna mwingine tuendelee kusubiri?

Pale mbele kuna Dubwana liitwalo DUBE

Kuna mpiga zeze na Marimba aitwaye ZENGELI,huyu yeye huwa hajulikani anacheza namba ngapi 😹

Pembeni/Kati kuna mzimu wa Afrika ujulikanao kama PACOME,maiwasuuuuuu!

Pale Kati kidogo ya Mbele kuna Mlalahoi mmoja anaitwa AZIZ KI, Uwi Uwi Uwi!

Jamani jamani jaman!

Nisiwaogopeshe mwaya, michezaji ya Utopoloni inatumia uchawi na dawa ya Uchawi ni CHE MALONI FORONYA & LAWINO 😹

PIA SOMA
- Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC

- Beki Lameck Lawi amesaini Simba kwa ajili ya msimu wa 2024/2025
 
Pacome Wala Usiende mbali ... Abdallah Kazi tu mbona anamtosha...

Zizi Ki anajulikana Maji kujaa,maji kupwa, huyo anafaa hapo hapo tu.

Akina Malone, na Hao kina Lawi ni Wa Malengo ya Mbali...
 
Pacome Wala Usiende mbali ... Abdallah Kazi tu mbona anamtosha...

Zizi Ki anajulikana Maji kujaa,maji kupwa, huyo anafaa hapo hapo tu.

Akina Malone, na Hao kina Lawi ni Wa Malengo ya Mbali...

Maji kupwa maji Kujaa uongoooo?😹


MAKOLO mna matatizo ya kiakili walahi!😹
 
Usinchoshe na nsikuchoshe,Tusichoshane!



Hivi huyu Beki anayeitwa "KISIKI CHA MPINGO" mliyemnunua kutoka huko kwa Ndugu zenu ndiye mnayemtegemea amkabe PACOME au labda kuna mwingine tuendelee kusubiri?


Pale mbele kuna Dubwana liitwalo DUBE

Kuna mpiga zeze na Marimba aitwaye ZENGELI,huyu yeye huwa hajulikani anacheza namba ngapi 😹

Pembeni/Kati kuna mzimu wa Afrika ujulikanao kama PACOME,maiwasuuuuuu!


Pale Kati kidogo ya Mbele kuna Mlalahoi mmoja anaitwa AZIZ KI,Uwiiiiiiiiii......Uwiiiiiiiiiiiiii......Uwiiiiiiiiiiii!



Jamaniiiiiii jamaniiiiii jamaniiiiiiiii!


Nisiwaogopeshe mwaya,michezaji ya Utopoloni inatumia uchawi na dawa ya Uchawi ni CHE MALONI FORONYA & LAWINO 😹
Umesahau..alimkaba hadi akapewa kadi nyekundu ya mchongo ndio mkafunga
 
Yaani Unaye Mchezaji kama Pacome, wewe unamuona Yupo on fire halafu hakuna tetesi Zozote kuwa anatakiwa na timu kubwa kama Al ahly n.k....,

Acha kuneng'eneka huyo saizi yake ni kina Lawi kbs.... Yeye na kina Zizi ki Pale Msimbazi wanakaa Benchi...
 
Usinchoshe na nsikuchoshe,Tusichoshane!



Hivi huyu Beki anayeitwa "KISIKI CHA MPINGO" mliyemnunua kutoka huko kwa Ndugu zenu ndiye mnayemtegemea amkabe PACOME au labda kuna mwingine tuendelee kusubiri?


Pale mbele kuna Dubwana liitwalo DUBE

Kuna mpiga zeze na Marimba aitwaye ZENGELI,huyu yeye huwa hajulikani anacheza namba ngapi 😹

Pembeni/Kati kuna mzimu wa Afrika ujulikanao kama PACOME,maiwasuuuuuu!


Pale Kati kidogo ya Mbele kuna Mlalahoi mmoja anaitwa AZIZ KI,Uwiiiiiiiiii......Uwiiiiiiiiiiiiii......Uwiiiiiiiiiiii!



Jamaniiiiiii jamaniiiiii jamaniiiiiiiii!


Nisiwaogopeshe mwaya,michezaji ya Utopoloni inatumia uchawi na dawa ya Uchawi ni CHE MALONI FORONYA & LAWINO 😹

Mmh.... Mi mwanzoni NLIdhani mwandishi ni mwanaume....... Niliposoma chini ndo nikapata jibu. Hujambo binti?
 
Pacome, Max, Ki Aziz na Dube ni hatari mno, Yanga mpya itakuwa moto sana derby itakuwa nyepesi tu, pale Simba hakuna wa kuwakaba hawa jamaa na vilio vitaendelea tu umbumbumbuni hadi siku Eng Hersi atawaonea huruma, niko paleeee kwetu Buza Mpalanger!
 
Pacome, Max, Ki Aziz na Dube ni hatari mno, Yanga mpya itakuwa moto sana derby itakuwa nyepesi tu, pale Simba hakuna wa kuwakaba hawa jamaa na vilio vitaendelea tu umbumbumbuni hadi siku Eng Hersi atawaonea huruma, niko paleeee kwetu Buza Mpalanger!
Walikusanyana wote wakamfunga coast goli moja baada ya dhuruma ya mwamuzi kutoa kadi nyekundu ya mchongo kwa Lawi ,baada ya mechi mwamuzi kala nyundo na kadi ikafutwa maana waliona dogo kawa kikwazo wakamtoa kwa kadi nyekundu.
 
Back
Top Bottom