Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Bora ubaki na ushamba wako ndugu, kuliko kujifanya mjuaji kumbe ndo unakua bogs!Abee Mkuu.
Kwa upande wangu hafai kupewa sapoti huyo sababu anafundisha nini hapo hasa wale watoto wakiume wakiona hiyo nguo aliyovaa.
Au mie ndo mshamba?