Hii form ya Manchester City wangekuwa nayo Manchester United tungekoma!

Manchester United ni brand kubwa sana ni zaidi ya timu ya mpira wa miguu uwanjani. ..japo mimi sio shabiki wa hii timu.
 
inanikmbusha Arsenal enzi zetu zile za 2003 tulikuwa hivi hivi
 
Mdogo mdogo watakuwa kama eseno na livapuli. Washasahau ile hali ya kunyanyua kwapa.

Sitakaa nimsahau kocha wa zamani wa livapuli ambaye kwa sasa yupo pale celtic. Aliswmaje unajua!?

United wajiandae kisaikolojia, maana njia wanayopita ndio wanayopita Milan ya Gang Chomba, aseno ya Wacha 1 na livapuli ya kina King Ngwaba na MosDef.
United imebaki brand tu.
 
Aliyeleta huu uzi kama si fans wa arsenal basi ni livapuli maana ndo mna hasira sana na man u kisa wanawafunga sana
 
Umeona mbali mkuu.
Hawa jamaa huwa wanacheza mpira kwa midomo badala ya miguu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…