Hii form ya Manchester City wangekuwa nayo Manchester United tungekoma!

Hii form ya Manchester City wangekuwa nayo Manchester United tungekoma!

Mpira ungekuwa unajajiwa hivyo bas arsenal fala ozil,lacazatte,sanchez ntajie mchezaj wa burnley mwenye thamani karib ya hao kama sio kuinunua timu yote ya burneley? Unaijua thaman ya walker,de bryune,silva,otamend,mangala na mendy plus sterling pale pesa wewe na mshahara wa gualdiola unaujua?
yote kwa yote.....mkulima wenu vs purist Guardiola bado sana!!
 
Mwaka jana alikuwa wapi alipotoka hata kikombe cha chai hamna wakat mkulima mou akibeba tuwili + ngao ya jamii?
Angechukua nacho ubingwa kile kikosi mngesema ana bahati
 
vile hata Wigan anabeba. hahahaa!

maajabu kwenye mpira yapo unashangaa wigan hata ugirik alibeba kombe la mabingwa kwa nchi za ulaya jiulize germam,italy,spain,france,portugal na england walikuwa wap? mkiambiwa mpira hamjui mnakasirika.
 
Nakuthibitishia 4g inarudi, na Likuku linarudi kuwa Lukaku,
sababu ni chache sana kama mbili tatu tuu lakini za ukweli,
1. Usajili wa January
2. FA CUP na UEFA Champions league

Naamini January mou atasajili mchezaji mmoja tuu sijui mshambuliaji au kiungo lakini sio beki, hatoacha mchezaji wa maana mwenye namba kwenye kikosi chake, hii itawapa confidence wachezaji kwamba bado wanacheza kwenye malengo ya kocha na confidence ni silaha muhimu sana kushinda kwenye mechi ngumu..

Mkorogo wa FA CUP na Champions league utagharimu timu nyingi kwa sababu ya kucheza mechi mbili kwa wiki, jambo ambalo mou hana wasiwasi nalo sana kulingana na upana wa kikosi chake..

Mimi kama mshabiki wa man sijavunjika moyo kabisa bado naamini tutanyanyua makwapa zaidi ya mara moja mwaka huu
Kwaiyo kikosi cha man u ni kipana kuliko cha city?

Subiri draw kesho na westbrom alfu uje kuimba taarabu hapa
 
MANU HUWA HATUNYAMAZI SABABU NI WAKUBWA TU HATA TUKIFUNGWA,TIMU YA MABABU MABIBI WANAUME WANAWAKE WATOTO NA VISICHANA PIA.WE ARE GIANTS,NA NDIO MAANA HATA WEWE UNATUJUA NA UNATUTOLEA MFANO,PAMOJA NA KUFUNGWA MAN YOU NI TIMU KUBWA NA NZITO SANA.
 
MANU HUWA HATUNYAMAZI SABABU NI WAKUBWA TU HATA TUKIFUNGWA,TIMU YA MABABU MABIBI WANAUME WANAWAKE WATOTO NA VISICHANA PIA.WE ARE GIANTS,NA NDIO MAANA HATA WEWE UNATUJUA NA UNATUTOLEA MFANO,PAMOJA NA KUFUNGWA MAN YOU NI TIMU KUBWA NA NZITO SANA.
Ni kama yule Baunsa aliyebakwa kwa tabu mno!!
 
Hivi mnakumbuka wakati ligi inaanza?

Man untd walianza kwa kila aina ya mbwembwe na kujipa majina kama wazee wa 4g na mengineo..

Enzi hizo striker wao Lukaku anafunga balaa, wakaanza kuwatukana kina Morata na wengineo waliowakosa kwenye usajili

Mwisho wa siku wakaanza kula kipondo, watu wanajipigia tuu, mara ghafla lukaku wao akageuka LIKUKU..

Najaribu kuwaza hapa hivi hawa Man untd wangecheza mechi 15 mfulululizo bila kufungwa hata mechi 1 kama Man city hata hii J.F si tungeiona ya moto, tungeweka wapi nyuso zetu kwa mbwembwe zao zile...?
Mungu siyo flani. Haki ya Mungu hawa jarani zangu wana mbwembwe kinoma. Watu hata wakila kisago, utasikia kelele zao tu.
 
Back
Top Bottom