Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii gari unaweza kuitumia kumtishia mtoto anywe uji na akakubali!
Mbona gari yenyewe kama kichwa cha Mamba?Hii gari nimeiona kwenye facebook groups
Ni Alphard ila mimi sijawah kuiona alphard ya hivi [emoji23]
Hii gari sura yake inachekesha jamani tuache utani.
View attachment 1836666
Ningekuwa na pesa ningeinunua.Hii gari nimeiona kwenye facebook groups
Ni Alphard ila mimi sijawah kuiona alphard ya hivi [emoji23]
Hii gari sura yake inachekesha jamani tuache utani.
View attachment 1836666
Hii sasa ndio Alfaxadi aliyokuwa anaisema yule afande.Hii gari nimeiona kwenye facebook groups
Ni Alphard ila mimi sijawah kuiona alphard ya hivi [emoji23]
Hii gari sura yake inachekesha jamani tuache utani.
View attachment 1836666