Ila lazma iliongezeka kutafuna mafuta.Mkuu, mi nishawahi experience tatizo kama hilo...mafundi walifanya basic services zote + kubadili plugs but tatizo lilikuwa palepale.
Nilichofanya niliamua kuitoa ile exhaust pipe...katikati huwa inatumbo linaitwa mufler...ambalo tulilichana na kutoa lile dongo la kuchuja sauti (lipo kama sega la nyuki)...... baadae tukalichomelea (kulishona) na kurudishia.... gari ilikuwa nyepesi huwezi amini...na sauti haikubadilika sana.....try this naamini utatibu hilo tatizo.
Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.
Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?
NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
Hapa sawa kabisa. Tabia ya kuuzina gari mbovu mbaya sana πππHahahaha!!!
Haya Mkuu nimekuelewa ni Bora jamaa aende mitaa ya tandale akauze kama chuma chakavu
tatizo la kununua gari mtumba, tuungane na serikali yetu tuache kuwategemea mabeberu na tuunde magari yetu pale pwani, yanaitwa NYUMBU, hayata kusumbua.Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.
Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?
NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
Wanazalisha Sedan au SUV ?tatizo la kununua gari mtumba, tuungane na serikali yetu tuache kuwategemea mabeberu na tuunde magari yetu pale pwani, yanaitwa NYUMBU, hayata kusumbua.
Ila lilipata nguvu πππIla lazma iliongezeka kutafuna mafuta.
Nguvu inaenda sambamba na ulaji wa kiwese. Thats same with turbochargersIla lilipata nguvu πππ
Hivi ile barabara ya Tandale kwanini imejaa magari mabovu ?Nenda mitaa ya Kariakoo shaurimoyo au tandale-sinza
Wese muhimu kunyweka... πππ.Nguvu inaenda sambamba na ulaji wa kiwese. Thats same with turbochargers
Hayo Magari ni biashara Mkuu yanauzwa kama chuma chakavuHivi ile barabara ya Tandale kwanini imejaa magari mabovu ?
Crown MajestaNguvu inaenda sambamba na ulaji wa kiwese. Thats same with turbochargers
Hizo gari zote zamoto mkuu. Fuga iko more complicated with electronics ila kwa aspects zingine zote hazijapishana sana.Crown Majesta
Fuga Hybrid
Nipe view yako juu ya hizi gari.. mwaka kuanzia 2011++...
Fuga passed, kuna mtu amenipa offer.. ngoja nimrudie.. nachopendea fuga ushuru wa tra ni mdogoHizo gari zote zamoto mkuu. Fuga iko more complicated with electronics ila kwa aspects zingine zote hazijapishana sana.
Aina ya gari?Nina gari ndogo ya kutembelea, gari hii ilianza kuwa nzito yaani ukiwa D lazima ukanyage mafuta ndio iondoke na vilevile ukiwa kwenye mpando inaishiwa nguvu na kuchemsha, nilienda kwa fundi akaniambia tatizo ni pampu nikabadilisha lakini tatizo likabaki pale pale nikaenda kwa mwingine akaniambia oil ya gearbox na engine nikabadilisha lakini tatizo likawa pale pale, mwingine akaniambia ni gearbox mbovu ninunue nyingine, nimenunua gearbox nimefunga lakini tatizo halijaisha.
Naona hii gari itanifilisi na hawa mafundi wapiga ramli, kwa wajuzi wa magari hii gari inaweza kuwa na shida gani?
NB: gari ni la mwaka 2000 halina port za kupimia.
Eeh ni kweli, ila ushuru wa kununua spea show itakuwa kali πππFuga passed, kuna mtu amenipa offer.. ngoja nimrudie.. nachopendea fuga ushuru wa tra ni mdogo
Hicho ulichofanya ni hatari sana kwa afya ya jamii maana hiyo uliyotoa ni catalytic converter inayochuka sumj za moshi, labda kama ilikuwa imeziba basi ulipaswa kubadilishaMkuu, mi nishawahi experience tatizo kama hilo...mafundi walifanya basic services zote + kubadili plugs but tatizo lilikuwa palepale.
Nilichofanya niliamua kuitoa ile exhaust pipe...katikati huwa inatumbo linaitwa mufler...ambalo tulilichana na kutoa lile dongo la kuchuja sauti (lipo kama sega la nyuki)...... baadae tukalichomelea (kulishona) na kurudishia.... gari ilikuwa nyepesi huwezi amini...na sauti haikubadilika sana.....try this naamini utatibu hilo tatizo.