lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,204
Hahahaha, nimecheka sana! Harrier mbona 3000USD CIF ni bei ya kawaida sana kwa gari ya mwaka 2003 kushuka chini!!! Bei ya harrier inakuja kupanda ikitandikwa kodi za ajabu hapa bongo. Harrier ya miaka hiyo mpaka barabarani usilipe zaidi ya 17M.
Used HARRIER TOYOTA for Sale | BF232345 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD
Used HARRIER TOYOTA for Sale | BF234133 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD
Kweli kabisa kwa OLD SHAPE wawezapata lakini kwa new shape kuanzia 2005 zipo juu,popote pale hasa 4 cylinder yenye CC chini ya 2400..Nyingi ulizotuonyesha hapo juu ni old shape na CC 2900 ambazo hazina demand kwa wateja.
Hahahaha, nimecheka sana! Harrier mbona 3000USD CIF ni bei ya kawaida sana kwa gari ya mwaka 2003 kushuka chini!!! Bei ya harrier inakuja kupanda ikitandikwa kodi za ajabu hapa bongo. Harrier ya miaka hiyo mpaka barabarani usilipe zaidi ya 17M.
Used HARRIER TOYOTA for Sale | BF232345 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD
Used HARRIER TOYOTA for Sale | BF234133 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD
Exactly, wewe unajua aisee hata mimi was on the same plane sio zaid ya 17 mayb ikizidi ni vilaki viwili umetapeliwa na C&F companies za vichochoroni...
Hahahaha, nimecheka sana! Harrier mbona 3000USD CIF ni bei ya kawaida sana kwa gari ya mwaka 2003 kushuka chini!!! Bei ya harrier inakuja kupanda ikitandikwa kodi za ajabu hapa bongo. Harrier ya miaka hiyo mpaka barabarani usilipe zaidi ya 17M.
Used HARRIER TOYOTA for Sale | BF232345 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD
Used HARRIER TOYOTA for Sale | BF234133 | Japanese Used Cars Exporter BE FORWARD
Du cyberteq umenisaidia sana kuna mtu hapa kaapa huwezi kupata harrier kuanzia us 3000. Sikutaka kubishana nae kwa sababu kila mara naenda aweer na ninazikuta tatizo wabongo mnapaisha magari wala yasiyokuwa na soko mradi nyie mkiona aina gari fulani analo basi ukiniambia Infinity , bmw, audi. Sikukatalii lakini toyota mmh
Tayarisha mil 9 tu
Jamani naomba msaada kwa anayefahamu,kwa gari hii aina ya Toyota Harrier,itanigharimu shilingi mpaka kuitoa bandarini na kuwa nayo mkononi?na kwa wataalamu wa magari je gari hii ni si mtumiaji mkubwa wa mafuta?Msaada tafadhari!!!!!
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100"]
[TR]
[TD] Model: [/TD]
[TD] TA-ACU15W [/TD]
[TD] CC: [/TD]
[TD] 2400 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Transmission (Gear): [/TD]
[TD] AT [/TD]
[TD] Color: [/TD]
[TD] Black/Silver [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Drive: [/TD]
[TD] 4WD [/TD]
[TD] Door: [/TD]
[TD] 5 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Steering Wheel: [/TD]
[TD] RHD [/TD]
[TD] Body Style: [/TD]
[TD] SUV [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Fuel: [/TD]
[TD] Petrol [/TD]
[TD] Mileage: [/TD]
[TD] 109000 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] Engine Type: [/TD]
[TD] 2AZ [/TD]
[TD="colspan: 2"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 100, align: left"]
[TR]
[TD][/TD]FOB Price:
[TD][/TD]US$ 4,200
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]Points Benefit:
[TD][/TD]US$ 0.00
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]Freight:
[TD][/TD]US$ 1,050
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]Vanning:
[TD][/TD]US$ 0
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]Inspection:
[TD][/TD]US$ 300
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]