Hii Gari kaka zangu na rafiki zangu mnasemaje?

Hii Gari kaka zangu na rafiki zangu mnasemaje?

kutoka crown to brevis ni kushuka aisee uza iyo uchukue Athlete ya cc 2500 heshima iwe pale pale brevis hazina soko saivi..
 
Habari zenu ndugu zanguni? Mimi nataka nihamie Tabata Segerea karibu na kituo cha Oil Com. Ofisi zangu zipo Posta Ohio Street.

Nina gari Toyota Crown nataka iuza ninunue Toyota Brevis. Matumizi yangu ni kwendea kazini sasa itakuwa from segerea to town.

Swali.
Je wastani wa matumizi ya Toyota Brevis engine ya 2.5 inaweza ikawa lita ngapi kwa siku. Mimi ni mtumiaji wa Full Time AC. huwa sizimi AC.

Naombeni majibu wenye uzoefu. Msinambie kununua ist au vitz. Hizo si gari zangu maana nyie wakaka huwa mnaamini wanawake wanapenda tugari tudogo tudogo.mi sipo hivyo
Sasa kama sio wa ist au vits hayo maswali unamuuliza nani kama kiumbe kilichovimbilwa kande? tumia hiyohiyo crown,na kwa hayo magari uliyotaja kuhusu matumizi ya mafuta nunua gari mpya kiwandani utapata na kitabu cha muongozo na majibu ya ulichouliza hilo ulonalo chuma chakavu wewe malizia tu
 
Binafsi naona km kila mmoja anachangia kwa kuvutia upande wake, wengine kwa wanachangia kwa kuponda bila data na wengine wanatumia uzoefu wa kweli. Binafsi hilo gari aina ya Brevis ni nzuri tu km ilivyo crown au athletic. Kwa upande wa mafuta ninachokifahamu haitaki mafuta ya elf 20 km mshale unasoma empty. Ukiweka mafuta ya hicho kiwango mshale hautopanda. Dawa ya gari hii ni full tank ambayo ni Lita 60. Na Cc zake ni kubwa 2500-3000. Kizuri zaid ktk Brevis km unasafari ya mikoani inakimbia sana tena sana. Kwahyo Bi Khadija ni chaguo lako fanya kile nafsi inataka.
 
Kwani wap ametaja athlete?
Mtoa mada kasema crown yake ni cc 4700 ndiyo maana nikasema Kwa Toyota crown zenye cc hizo kubwa ni crown majesta na crown athlete highbrid.
Soma hiyo comment yake naweka na screen shot yake
Screenshot_2019-08-04-12-28-14.png
 
You meant SUVs? Right? Its ok. Good advice pia. Thanks.
Kuna tofauti ya CUV- Crossover Utility Vehicle hapa ndo kuna gari kama Harrier, kluger, Forrester, Everest,Murrano etc halafu kuna SUV- Sport Utility Vehicle hapa ndo yale magari makubwa engine, size, width kama Prado, VXV8, X6 etc
CUV kidogo ni ndogo in size na engine wakati SUV ni makubwa in all aspects!.
Ukichukua SUV hujafanya kitu kuikimbia cc4700 uliotaka ikimbia chukua CUV
 
Mtoa mada kasema crown yake ni cc 4700 ndiyo maana nikasema Kwa Toyota crown zenye cc hizo kubwa ni crown majesta na crown athlete highbrid.
Soma hiyo comment yake naweka na screen shot yakeView attachment 1172011
Upo sahihi ni ubishi wao kutaka mpaka ingetajwa model wakati kwa engine size tumeelewa ni model gani imeongelewa!!..
 
Crown nliyo nayo ni ya CC 4700. Ni machine kubwa bro. Nataka angalau nishuke kidogo maana naanza kukaa mbali na home. Naenda kukaa segerea...before ilikuwa rais from home oysterbay to posta.
Duh.. Cc 4700 si za v8 hizi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari zenu ndugu zanguni? Mimi nataka nihamie Tabata Segerea karibu na kituo cha Oil Com. Ofisi zangu zipo Posta Ohio Street.

Nina gari Toyota Crown nataka iuza ninunue Toyota Brevis. Matumizi yangu ni kwendea kazini sasa itakuwa from segerea to town.

Swali.
Je wastani wa matumizi ya Toyota Brevis engine ya 2.5 inaweza ikawa lita ngapi kwa siku. Mimi ni mtumiaji wa Full Time AC. huwa sizimi AC.

Naombeni majibu wenye uzoefu. Msinambie kununua ist au vitz. Hizo si gari zangu maana nyie wakaka huwa mnaamini wanawake wanapenda tugari tudogo tudogo.mi sipo hivyo
Tabata Segerea to mjini ni kama 16Km... Gari itatumia kama lita moja kwa km 6 mwendo wa bampa to bampa... So kwenda uwe na lita tatu na kurudi uwe na lita tatu! Roughly kwa siku utatumia lita tano. So andaa kama elfu 12 kwa siku... Kwa Siku 25 za mwezi ni around Tsh laki tatu za mafuta tu!
 
Tabata Segerea to mjini ni kama 16Km... Gari itatumia kama lita moja kwa km 6 mwendo wa bampa to bampa... So kwenda uwe na lita tatu na kurudi uwe na lita tatu! Roughly kwa siku utatumia lita tano. So andaa kama elfu 12 kwa siku... Kwa Siku 25 za mwezi ni around Tsh laki tatu za mafuta tu!
Hayo ni makadirio ya gari gani!?..
 
Ndo madhara ya kuwa na account mbili, hata kama ni heterosexual si vizuri kujifanya jike na dume kwa account tofauti ilihali wewe ni mmoja. Namaanisha Bi Khadija ndiye Kiduku Lilo Ila anajibadilisha tu jinsi yake kulingana na uzi. Ndio maana leo badala ya account ya uzi wa kiume kajichanganya katuma kwa uzi wa kike.
 
Gari yeyote yenye 2500 cc ikiwa full.AC ikiendeshwa kwenye foleni.
Bei ya Mafuta roughly inacheza 2200-2380 kwa elfu 10 utapata lita 4 hiyo ni 10,000!, so ukitaka lita 6 itakubidi uwe na 15,000!. Gari ya cc2500 na Ac juu eti lita 6 zikutoe Segerea-Mjini (labda buguruni napo si mjini) kwenda-rudi pamoja na FOLENI hii ni ndoto!!!..
Brevis tu ya cc2290 bila 20,000 unatembea na mawazo ije kuwa cc2500!!!??..
Mkuu umeichukulia cc2500 ndogo eeh?, Utatembea na vidumu mpaka ukome!!..
 
Bei ya Mafuta roughly inacheza 2200-2380 kwa elfu 10 utapata lita 4 hiyo ni 10,000!, so ukitaka lita 6 itakubidi uwe na 15,000!. Gari ya cc2500 na Ac juu eti lita 6 zikutoe Segerea-Mjini (labda buguruni napo si mjini) kwenda-rudi pamoja na FOLENI hii ni ndoto!!!..
Brevis tu ya cc2290 bila 20,000 unatembea na mawazo ije kuwa cc2500!!!??..
Mkuu umeichukulia cc2500 ndogo eeh?, Utatembea na vidumu mpaka ukome!!..

Mkuu huyu jamaa analeta utani na cc2500.
 
No wonder ulisema unatumia gari yenye cc 660.

Sidhani kama umeshawahi kutumia gari yenye cc2500 ukajionea ulaji wake.
Mkuu, nilikuwa na magari matatu ya kutembelea... Moja la kazini moja la kwangu lenye engine ya 3000cc Petrol na hako kadogo kenye 650cc....
La kazini nililirusha baada ya mkataba wa kazi kuisha, hilo la kwangu lilipata ajali so nikajikuta nimebakia na hako kenye 650cc!
 
Chukua Mark X

Naona ni nzuri kuliko Brevis
Rangi Silver ama nyeusi

Ziko common naona utaenjoy vzuri tu
 
Back
Top Bottom