Hii Guest House kiboko

Hii Guest House kiboko

Fidel80

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2008
Posts
21,947
Reaction score
4,470
384529_273221986046916_100000773500533_694806_1291445532_n.jpg


Self bei yake Tsh.6000/= kwa usiku mmoja
Single bei yake Tsh.3000/= kwa usiku mmoja
 
imetulia kweli,big up kwa mwenye hiyo guest house.Nalog off
 
Sasa unaokoka kabla au baada ya shughuli ya elfu 6?
 
Fidel huwezi kwenda hiyo guest na wapenzi wako wengi si unsona jina lilivyo? lazima nafsi itakusuta
 
Fidel huwezi kwenda hiyo guest na wapenzi wako wengi si unsona jina lilivyo? lazima nafsi itakusuta

Huwa najifanya hilo jina sijaliona nazama tu
 
du hommie..................mbona bango ni kubwa namana hiyo; hawakudai cheti cha ndoa mkiingia?
 
hilo jina tu,mimi hoi!inanikumbusha pia,simba kapakatwa pub
 
Back
Top Bottom