Hii habari ni kweli na huyu Miss ni nani?

Hii habari ni kweli na huyu Miss ni nani?

Nime conclude kuwa huyu dada ni Gold digger tu hana lolote
 
Inawezekana kuwa mwanaume hasemi kila kitu. Na inaonekana story ina kisa kingine na sio ubakaji. Sidhani kama polisi wanaweza kudai faini na kumsainisha mtu mitaani bila kufika kituo ni kufuata hatua husika, au mabaunsa wanaweza kudai faini ya kubakwa mtu mwingine, wakati mwenyewe mbakwaji hajadai. Na mbakwaji angeenda polisi na baadaye hospitali ili kupata ushahidi. Sidhani kama mtu akibaka anweza kupigiwa simu na aliyembaka halafu akaenda na kukaa naye sebule moja.

Huwezi kumchukua mtu mahali ukaneda nae bill na kwenda kumbaka kama hakukuwa na makubaliano fulani.
Labda habari hii ina vikolombwezo vingi ambavyo bado hatuvijui, so kama ni kweli better ije story ya kweli ili watu waweze kuchangia.
 
Hapa kuna kisa kinaendelea nyuma ya pazi. Inavyoonekana ni kama kuna drama ya kulipiziana visasi vile. Haiwezekani mharifu aliyefanya uharifu kweli na consiquences za alilolifanya anazijua akubali kirahisi kukaa chini la paa moja na victim (labda kama huuyo mharifu anaupungufu wa akili). Hapa wameamua kum-blackmail na kunufaika na mshiko maana inaonekana jamaa anajiweza. Isitoshe inaonekana mshkaji ni bwana mdogo maana nimeona wameandika umri wake ni miaka ishirini na moja (21) kama ni kweli basi hii stori inaongeza mashaka zaidi kwa huyo binti kubakwa maana anaonekana kama amekomaa fulani hivi kiasi cha kwamba sio rahisi kuzidiwa nguvu kiivyo. Halafu wako wapi wale waliosemwa mashosti zake aliokwenda nao hadi billz watoe ushahidi wao kujua mwenzao aliondokaje hadi kujikuta yupo kwa mshkaji naked. Hao ni mashahidi muhimu sana na huwenda wakamaliza kabisa haka kastori ka tom and jerry. Ni mtazamo wangu sijahukumu bado.
 
Back
Top Bottom