Hii hali ilishakukuta na wewe?....

Hii hali ilishakukuta na wewe?....

holy holm

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2017
Posts
4,793
Reaction score
9,101
Yaani unatafuta kitu muda mrefu mpk unatamani kulia..

Unakuta hicho kitu kwa muda huo ndo cha umuhimu alafu ukioni

Kuna muda unatafuta weee kumbe unacho mkononi umekishka au mfukoni n.k

Me nilishawai kutafuta Cheti changu cha form four kwa muda huo kilkua kina itajika Veta nilitafuta ka lisaa hvi naulza madogo wanasema hawajui kuja kuchek kumbe ni nacho mkononi.Niltamani nikichane

Je wewe pia ulishakutana na kadhia hii....View attachment 1021766

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mzee kule kijiji aliweka shoka begani halafu akaondoka kwenda kukata gogo msituni, alipofika akataka kukata gogo akaanza kutafuta shoka akarudi nyumbani. Baada ya kufika nyumbani akaulizwa mbona huna gogo, akasema siioni shoka nimeisahau huku nyumbani. Akaambiwa mbona shoka iko begani kwako, akajikuta anapigwa na butwaa kwa mshangao mkubwa[emoji3][emoji3]
 
Kuna mzee kule kijiji aliweka shoka begani halafu akaondoka kwenda kukata gogo msituni, alipofika akataka kukata gogo akaanza kutafuta shoka akarudi nyumbani. Baada ya kufika nyumbani akaulizwa mbona huna gogo, akasema siioni shoka nimeisahau huku nyumbani. Akaambiwa mbona shoka iko begani kwako, akajikuta anapigwa na butwaa kwa mshangao mkubwa[emoji3][emoji3]

Huyu kazidi asee,heri mimi
 
Hiyo ni early stage of dementia.
Yaani unatafuta kitu muda mrefu mpk unatamani kulia..

Unakuta hicho kitu kwa muda huo ndo cha umuhimu alafu ukioni

Kuna muda unatafuta weee kumbe unacho mkononi umekishka au mfukoni n.k

Me nilishawai kutafuta Cheti changu cha form four kwa muda huo kilkua kina itajika Veta nilitafuta ka lisaa hvi naulza madogo wanasema hawajui kuja kuchek kumbe ni nacho mkononi.Niltamani nikichane

Je wewe pia ulishakutana na kadhia hii....View attachment 1021766

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom