Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁
hahahha kuna jamaa alikua anapanda ngazi kufika katikati akasimama anafikiria kitu, badae akasahau kuwa alikua anapanda au anashuka!
Inasababishwa na upungufu wa madini flani mwilini.... japo karibu kila mtu huwa anasahau...
Hasa simu. Mko zaidi ya wa3,4 hivi. Hapo kuna masera usiowaamini,hasa kufuatana na tabia zao. Wale masera wanasepa,simu kawaida mara nyingi inakuwa mfukoni,lakini ukawa umeishika mkononi. Unafuta mfukoni haimo,pale ulipozoea kuweka mezani haipo. Mbio nje kuwakimbilia wale masera. Kumbe simu iko mkononi
Sent using Jamii Forums mobile app
Utazidi changanyikiwa siku ukiibiwa gari, maana utajisachi mifukoni wewe!
3x² + 5 + 4x³ - x² + 2x³ + 9
Pole yako mkuuAcha nicheke tu
Nilipokuwa mdogo kama darasa la 1 au 2 nilitumwa sukari dukani nikapewa jero
Kufika karibu na duka, nikajisachi mfukoni sina hela, ikabidi nianze kurudi nyumbani kwa njia ile ile niliyotumia kwenda dukani huku naangalia chini kwa umakini mkubwa
Nilikwenda na kurudi njia hiyo kama mara 4. Nikawa naogopa kurudi home, maana ningeenda na story za kupoteza hela ningekula kichapo
Ikafika jioni kabisa kwenye saa 12 (nilitumwa shop kwenye saa 10 jioni hivi), kuangalia mkono wa kulia nimekakunja kajero, kana jasho, kamekunjamana ..... Duh.... Nilichoka, nikaenda shop kuchukua sukari
Usiniuliza niliporudi nyumbani na kuulizwa kwanini nimechelewa niliwajibu nini. Kubwa zaidi usiniulize nini kilinikuta [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Poleni Sana wenye hlo tatizo bt muwe makini Sana isije siku mkajikuta mnatafuta dude rungu,kumbe lipo kwenye suruali
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]
Kuna sista duu alikua anatafuta kope zake kmbe kashazibandka machoni mpk akaghaili mtoko
Sent using Jamii Forums mobile app
Matumizi ya mmea pia husababisha kupoteza kumbukumbi.Kuna mzee kule kijiji aliweka shoka begani halafu akaondoka kwenda kukata gogo msituni, alipofika akataka kukata gogo akaanza kutafuta shoka akarudi nyumbani. Baada ya kufika nyumbani akaulizwa mbona huna gogo, akasema siioni shoka nimeisahau huku nyumbani. Akaambiwa mbona shoka iko begani kwako, akajikuta anapigwa na butwaa kwa mshangao mkubwa[emoji3][emoji3]
Nimecheka kwa nguvu..Unatafuta miwani kumbe umeivaa í ½í¸©
Ni hali mkuu.