Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
- Thread starter
- #21
ThanksVumilia Nsemwa said:polee sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ThanksVumilia Nsemwa said:polee sana,
Tupe experience yako yote ya utotoni😵 😵 unahisi tatizo huwa ni nini?
Hata kwa father niliona si sawa coz najihisi kama sijamheshimu.jacana said:Kwa father ni sawa ila kwa mother ulikosea sana angalau ungelishuka kwa Toyo mkatembea wote
Bora tu shule zifunguliwe mwende shule mkasomeHeri ya Eid Mubarak wanaJF!
Nipo hapa sina amani. Jioni hii nilitoka home nikaenda kitaa kuzunguka kidogo, wakati wa kurudi njiani nikakutana na baba yangu mdogo tukaja hadi home.
Kinachonikosesha amani ni kwamba huyo baba yangu mdogo alibeba mfuko wa mahitaji madogo madogo kutoka dukani ambapo tuliongozana wote akiwa anaubeba yeye.
Baada ya kufika nyumbani nikakumbuka kwamba kwanini sikumpokea ule mfuko?
Kisa cha pili kinachoniumiza kwa muda kila nikikikumbuka ni kwamba kuna siku (mwaka 2018) dereva alitupakiza kwenye piki piki (tupo wawili na dereva wa tatu) tukaja tukamkuta mother njiani tukampita; nyumbani kuna umbali wa kama dakika 10 kwa mguu.
Baada ya kufika home nikakumbuka kwanini sikushuka ili mama apande?
Kiukweli hii hali imekuwa ikinitokea kila mara ambapo inanikosesha amani. Hata nikisahau kidogo ila nikimwona huyo mtu najikuta nakosa amani na kujiona kwamba nimemkosea sana.
Kivipi mkuu?Kimbori said:Inaonekana huna majukumu ya msingi
Kama yapi?Mangatara said:Kuna mambo kidogo hayapo sawa.
Baba yupo tunaishi wote mkuuJe, huyo anaweza kuwa baba yako? Baba yako mzazi yuko wapi?
Kiufupi hapo hakuna sababu ya msingi ya kukufanya uumize kichwa. Ni mambo madogo sana lakini umeyachukulia kwa uzito mkubwa mnoKivipi mkuu?
Asante kw maoni mkuuMembe Jr said:Una muda wa kuwaza mambo ya kawaida sana mkuu.
Acha kujibebesha mzigo
Inahusiana vipi na niliyoyasema mkuu?dronedrake said:toka kwa mdingi apo nenda kapange
Haswaa mkuu.Client9 said:Tupe experience yako ya utotoni
Kuna mtu ulipenda umridhishe kila wakati(mzazi/mlezi) mkali?
Uliteseka utotoni?
Hapana, nipo katika kada nyingine kabisaaa japo sio kitu kipya kuulizwa kama mimi ni mwanasaikolojia wakati sijawahi kusomea hicho kitu
(y) pamoja sana mkuu. Nimekuelewa.Smart911 said:Pole sana.. usipende to complicate life.. vitu vingine acha vipite..
NDIO MKUU. NAJIONA NI MKOSAJI.mwamba_ngori said:Nonsense**v2 vidogo san hv kwo unaona ni dhambi sana au?
Kijana hebu jaribu kuwa unafanya mazoezi Mara kwa Mara hii itakusaidia ubongo wako kuwa active vinginevyo uwe na notebook itakusaidia kurejea makosa yako.Mkuu tatizo ni kwamba, huwa sikumbuki ila baadae mwishoni baada ya tukio ndio akili inafunguka na kukumbuka kuwa hivi kumbe sikumfanyia kitu fulani muhusika?
Yaani mkuu mwanzo huwa sikumbuki kabisa ila mwishoni ndo nakumbuka na hapo ndo penye tatizo.