Hii hali ni ushamba,ushirikiano au elimu?

Hii hali ni ushamba,ushirikiano au elimu?

Nduna shujaa

Senior Member
Joined
Aug 14, 2022
Posts
163
Reaction score
134
Nimefika wilaya ya ludewa mkoani njombe nimeshuhudia kama sherehe za ndoa nne kila anayepitisha tukio hili lazima akodi gari si chini ya kumi na kwakuwa mji mdogo watazunguka eneo lote la mjini hapo.Kituko wajasiriamali wasiyoalikwa wapo tayari kuacha biashara zao kusindikiza wakiwa wanacheza singeli.Na watu wengine wanatoka makwao kufata msafara.Mbona mambo haya ktk majiji na manispaa nyingi hakuna mambo haya watu apo bize na pilika zao kama hawakualikwa.Je nauliza,ni ushamba,ushirikiano,elimu duni au nini?
 
Acheni wafurahi ni sehemu ya kuweka akili sawa , hii Africa ilivyo ngumu tukiwa serious kila mtu atapata magonjwa ya akili !
 
Hatawezi kuwa sawa, Kila mahali kuna utaratibu wake! Kwenye haya maisha jifunze kufurahia na kujifunza kitu kutoka desturi na Mila za jamii mbalimbali! Elimu ingekuwa ndo kujitambua tusingekuwa na viongozi wa hovyo Kama wa awamu ya tano na awamu ya sita!
 
Mbongo we muweke bongo fleva singeli watajaaa tu
Sahv ndiyo tumewekeza huko

Ova
 
Back
Top Bottom