Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Habari zenu members.
Kuna hali Fulani ambayo ipo,kwamba waeza kutana na mtu lkn bila sababu yoyote ukajikuta unamkubali,mnaenda Sawa na mnajikuta kana kwamba mmefahamiana siku nyingi,mkikutana mnasalimiana vizuri na mnaweza tengeneza connection kirahisi Tu.
Lakini kinyume chake kuna mtu unakutana nae,Bila sababu yoyote ya msingi unajikuta Tu yaani haumkubali hata kidogo,hata kuzoeana tabu,unajiuliza hata hajakufanyia kitu chochote kibaya lakini yani inatokea Tu.
Niliwahi sikia kuwa Kwa nadharia ya kidini kuwa,zile roho ambazo baada ya kuumbwa zliikiwa pamoja au majirani huwa huku duniani zikikutana huwa zinaenda Sawa Kwa maana zilikuwa na back ground moja na zile ambazo haziivi hazikuwahi kuwa pamoja Kwa maani zilikuwa mbali mbali.
Bila Shaka hata wewe msomaji ushawahi msikia mtu anasema,mi Fulani simpendi hata kidogo,ingawa hajawahi kumfanyia chochote kibaya,ebu tupanuane mawazo hapa.
Ni hayo tu.
Kuna hali Fulani ambayo ipo,kwamba waeza kutana na mtu lkn bila sababu yoyote ukajikuta unamkubali,mnaenda Sawa na mnajikuta kana kwamba mmefahamiana siku nyingi,mkikutana mnasalimiana vizuri na mnaweza tengeneza connection kirahisi Tu.
Lakini kinyume chake kuna mtu unakutana nae,Bila sababu yoyote ya msingi unajikuta Tu yaani haumkubali hata kidogo,hata kuzoeana tabu,unajiuliza hata hajakufanyia kitu chochote kibaya lakini yani inatokea Tu.
Niliwahi sikia kuwa Kwa nadharia ya kidini kuwa,zile roho ambazo baada ya kuumbwa zliikiwa pamoja au majirani huwa huku duniani zikikutana huwa zinaenda Sawa Kwa maana zilikuwa na back ground moja na zile ambazo haziivi hazikuwahi kuwa pamoja Kwa maani zilikuwa mbali mbali.
Bila Shaka hata wewe msomaji ushawahi msikia mtu anasema,mi Fulani simpendi hata kidogo,ingawa hajawahi kumfanyia chochote kibaya,ebu tupanuane mawazo hapa.
Ni hayo tu.