Hii hali ya hewa ya leo ibarikiwe sana

Hii hali ya hewa ya leo ibarikiwe sana

Kampungapunga

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2018
Posts
313
Reaction score
1,100
Wadada tunapowahitaji katika kipindi kama hiki mjaribu kuitika wito mapema na kama hauji basi toa taarifa mapema ili mtu afanye alternative nyingine siyo tunawasikilizia baadae mida ishaenda unasema hauji mnatuumiza sana, ukizingatia hali kama hii ni adimu hapa Dar.

Asanteni, tubarikiwe wote tuliofurahia hali ya hewa ya leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom