Hii hali ya watu kunuka mdomo na jasho ni ugonjwa au ni uchafu

Hii hali ya watu kunuka mdomo na jasho ni ugonjwa au ni uchafu

kunuka jasho ni kawaida ila lisizidi mimi niacho jiulizaga ni kitu kimoja kuna mtu toka unefahamiana nae hujawahi kutana nae asi nuke mdomo aisee huwa najisikia vibaya sana kuongea na mtu anae nuka mdomo
 
Nilikutana na kijana mmoja ananuka mdomo sijapata kuona kwa kweli nilimwambia live kua awe anapiga mswaki mara mbili kwa siku, akasema ana tatizo nikamwambia awe anatafuna Big G au Pipi Kifua au anakunywa maji mara kwa mara mdomo usikae mkavu,

Hao wa Kwapa ndio siwezi kuvumilia kabisaaaaa, zawadi ya Deodorant itamuhusu na ujumbe wa "ikiisha nunua nyingine, kunukia kunaongeza unadhifu" so mtu atajiongeza.
 
Tatizo watu wanakua Sana chumvi na chumvi yenyewe unakuja imeisha expire
 
kunuka jasho ni kawaida ila lisizidi mimi niacho jiulizaga ni kitu kimoja kuna mtu toka unefahamiana nae hujawahi kutana nae asi nuke mdomo aisee huwa najisikia vibaya sana kuongea na mtu anae nuka mdomo
Mnunulie big G especially sugar free kama mentos au beba pipi kifua.
Ukkutana nae toa mbili, moja yako nyengine yake, Maana nyani haoni.......... huenda na yeye anahisi wewe ndio unanuka mdomo.
Pia ndizi mbivu husaidia kuondoa harufu mbaya mdomoni
 
Vitu vya kufanya ili Kupunguza harufu mbaya mwilini
. Kuogea shower gel
.Kutumia deodorant
.Kupunguza unene
.Kutumia ndimu kujisugua makwapa
.Kupunguza kula vitu vya sukari sana au vya kukaanga
.Kuoga angalau mara 2 -3 kwa siku
.Kufungua nguo zako vizuri na kuzipulizia manukato
 
Unawezaje kusifia Mavi 'givi' yakinukia vizuri?

Sharti la kinyesi kinuke haswa a.k.a n'guse n'nuke

Binadamu ili uwe hai na tuuone uzima wako sharti unuke sawasawa

Nuka mwana wane nuka, mtoto wa kiume nuka haswa mtoto wa kike nuka jamani nuka yaani
 
Unawezaje kusifia Mavi 'givi' yakinukia vizuri?

Sharti la kinyesi kinuke haswa a.k.a n'guse n'nuke

Binadamu ili uwe hai na tuuone uzima wako sharti unuke sawasawa

Nuka mwana wane nuka, mtoto wa kiume nuka haswa mtoto wa kike nuka jamani nuka yaani
[emoji23][emoji23]
 
Nimeshangaa watu wengi wanatetea kunuka, kunukia ni jambo jema maana madem wanapenda unukie harufu nzuri
 
Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu

Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia

Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa

Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa

Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah

[emoji1621]Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana

Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah


Usafi Muhimu
Hawanywi maji mengi na kufanya mazoezi
 
Nimepata hint sehemu kuhusu harufu ya mwili kuwa inaendana na unachokikula pia;

Ukiangalia kimantiki haiwezekani panya amshinde harufu paka kabisa, maana paka anamla huyo panya so harufu yake ni harufu ya paka plus harufu ya panya.

So kama chakula chako ni kitata bro, utamaliza pafyumu na pafyumu na mabeseni na mabeseni ya maji ya kuoga. Ndo maana baada ya kula mapilau siku mbili tatu za mbeleni lazma harufu zinazokutoka ziwe tata. Shida inakuja watu sasa wamehalalisha kula kiukawaida vyakula rasmi. So harufu za ajabu zinakuwa ndii kawaida yao
 
Nimepata hint sehemu kuhusu harufu ya mwili/mdomo/jasho/mkojo kuwa inaendana na unachokikula pia; Chakula kinachoegemea kwenye nyama, junk na mikaangizo VS kichoegemea kwenye matunda, mbogamboga na michemsho.

Ukiangalia kimantiki haiwezekani panya amshinde harufu paka kabisa, maana paka anamla huyo panya so harufu yake ni harufu ya paka plus harufu ya panya.

So kama chakula chako ni kitata bro, utamaliza pafyumu na pafyumu na mabeseni na mabeseni ya maji ya kuoga. Ndo maana baada ya kula mapilau siku mbili tatu za mbeleni lazma harufu zinazokutoka ziwe tata. Shida inakuja watu sasa wamehalalisha kula kiukawaida vyakula rasmi. So harufu za ajabu zinakuwa ndio kawaida yao
 
Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu

Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia

Unakutana na mtu smart kapendeza ila ananuka Mdomo na Jasho balaa

Hii kitu Maofisini imezidi watu wananuka midomo na Jasho uwa najiuliza wana shida gani iseee ukiongea na mimi huku unanuka mdomo au jasho dah unanitoa kwenye concentration kabisa cz harufu inaninyima raha kabisa

Ukija mtaani ndo hatari kabisa watu wananuka midomo na jasho dah hivi ni ugonjwa au uchafu
Ukipanda daladala au mwendokasi ndo utaelewa isee harufu zilizopo huko ni hatari sio kunuka mdomo, Jasho plus na nywele kunuka dah

[emoji1621]Tuzingatie Usafi wa mwili na mavazi haipendezi umepiga suit yako then unatoa harufu ya mdomo na Jasho hiyo inashusha heshima sana inafikia stage unakimbiwa na watu wa maana

Uwa najiuliza kama unatoa harufu ya hivo vitu huko down kutakuwa na hali gani Dah


Usafi Muhimu
Je wewe umeshahakiki harufu ya kinywa chako kama inaridhisha? 😳
 
Back
Top Bottom