Hii halmashauri ya Singida vijijini ipo vizuri

Hii halmashauri ya Singida vijijini ipo vizuri

Munkari

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2013
Posts
8,084
Reaction score
4,358
Daaah!

Hatimaye nimemaliza michakato .Aisee!! kweli ualimu kazi!

Vitambulisho telee yani hapa inabidi niongeze wallet .

Ila Kusema ukweli naona halmashauri ya singida v imejipanga ,

Kuanzia mapokezi,registration hadi malipo ,hadi muda huu tushapewa pesa zetu za kujikumu na nauli za kutupeleka vituoni,hakuna uchakachuzi uliofanyika na tumepewa zote za siku saba.

Kwa wale mliochakachuliwa pesa zenu huko kwenye halmashauri zenu poleni ndo sirikali yetu hiyo.

Alamsiki........!!!(msije kuniibia vijisenti vyangu buree!!
 
Daaah! Hatimaye nimemaliza michakato .aisee!! kweli ualimu kazi! Vitambulisho telee yani hapa inabidi niongeze wallet ................ ila Kusema ukweli naona halmashauri ya singida v imejipanga ,kuanzia mapokezi,registration hadi malipo ,hadi muda huu tushapewa pesa zetu za kujikumu na nauli za kutupeleka vituoni,hakuna uchakachuzi uliofanyika na tumepewa zote za siku saba.......... kwa wale mliochakachuliwa pesa zenu huko kwenye halmashauri zenu poleni ndo sirikali yetu hiyo............ Alamsiki........!!!(msije kuniibia vijisenti vyangu buree!!


Hahaha rafiki vipi kituo wamekupa wapii
 
Daaah! Hatimaye nimemaliza michakato .aisee!! kweli ualimu kazi! Vitambulisho telee yani hapa inabidi niongeze wallet ................ ila Kusema ukweli naona halmashauri ya singida v imejipanga ,kuanzia mapokezi,registration hadi malipo ,hadi muda huu tushapewa pesa zetu za kujikumu na nauli za kutupeleka vituoni,hakuna uchakachuzi uliofanyika na tumepewa zote za siku saba.......... kwa wale mliochakachuliwa pesa zenu huko kwenye halmashauri zenu poleni ndo sirikali yetu hiyo............ Alamsiki........!!!(msije kuniibia vijisenti vyangu buree!!

Munkari: Mimi nilivoanza kusoma tu, nikajua lazima utakuwa na furaha iliopitiliza! Hongera na endelea kumalizia furaha yako!
 
Munkari: Mimi nilivoanza kusoma tu, nikajua lazima utakuwa na furaha iliopitiliza! Hongera na endelea kumalizia furaha yako!

ha ha loh! Nimefurah tu kumaliza mzunguko mana inachoshaje?!
 
Daaah! Hatimaye nimemaliza michakato .aisee!! kweli ualimu kazi! Vitambulisho telee yani hapa inabidi niongeze wallet ................ ila Kusema ukweli naona halmashauri ya singida v imejipanga ,kuanzia mapokezi,registration hadi malipo ,hadi muda huu tushapewa pesa zetu za kujikumu na nauli za kutupeleka vituoni,hakuna uchakachuzi uliofanyika na tumepewa zote za siku saba.......... kwa wale mliochakachuliwa pesa zenu huko kwenye halmashauri zenu poleni ndo sirikali yetu hiyo............ Alamsiki........!!!(msije kuniibia vijisenti vyangu buree!!

kumbe na wewe ni mwalimu mi naonaga kama unazingua kumbe serious mwalimu haya bana
 
Vipi umeme upo? Maji yapo? Nyumba nzuri za kupanga zipo?

dah yani hapa hata sielewi nimeskia tu maumeme ya sola huko maji ya visima,nyumba zipo za kumwaga! Aisee cjui ntanenepa au ntakonda!?..mawazo !!!
 
dah yani hapa hata sielewi nimeskia tu maumeme ya sola huko maji ya visima,nyumba zipo za kumwaga! Aisee cjui ntanenepa au ntakonda!?..mawazo !!!

Huko nasikia walimu wanakirimiwa sana hivyo utakula kuku...mayai mpaka ukinai mwenyewe..

Ualimu raha jamani kila upitapo mwalimu mwalimu yaani ni heshima kubwa
 
yah kimaisha kama una mpango mkakati utatoka...kilimo ndio jibu .ufugaji na uuzaji mifugo..hata nyuki na asali......
mazingira ni pakame nadhani hata hapo town umeshaanza kuhisi hilo...
HIYO NI HALMASHAURI INAYOWAJALI NA KUWATHAMINI WALIMU WAKE KUPITA MAELEZO...hutokuja kulalamikia mshahara wala kupanda daraja..
...........
jipigepige uchukue sola ya size ya kati..usisahau line ya voda...N:B. uwe mpole ...nlichokiona ni mkoa wenye matukio ya ajabu yakiwemo mauaji kupita maelezo.. watu wa huko ni watata kwa hiyo ishi a low profile life usitake masifa na kuparamia wanawake....(ukipenda wanawake huko utashindwa kununua hata mswaki..utatengenezwa uwe zuzu mapenzi upigwe kamshahara kako..)
-----USIJIUNGE NA PSPF wala CWT
 
Back
Top Bottom