TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Kwa ufupi ni boat mpya inayokuja kuendelea kutoa huduma kati ya Zanzibar na Dar Es Salaam.
Chombo kinaondoka kwa mara ya kwanza Bandari ya malindi saa 06;30 kuelekea Dar Es Salaam, nauli zitakuwa kama ifuatavyo.
Economy 30,000 👇🏾
VIP 60,000 👇🏾
Royal class 100, 000👇🏾