Zanzibar one ni 30,000tupe na nauli yake pia
najua ile ya zingine
35,000 , 60,000 na 100,000
Jumatano itatoka saa ngap huku Zanzibar ,Mkuu saa sita kinaondoka hapa malindi kuja huko Tanganyika.
Safi sana Mkuu..Hongera Azam......Weka ratiba ya wiki nzima hapa...
Nimepata hii picha chombo kikielekea kuzinduliwa.
Kwa ufupi ni boat mpya inayokuja kuendelea kutoa huduma kati ya Zanzibar na Dar Es Salaam.
Chombo kinaondoka kwa mara ya kwanza Bandari ya malindi saa 06;30 kuelekea Dar Es Salaam, nauli zitakuwa kama ifuatavyo.
Economy 30,000 ππΎView attachment 2597920
VIP 60,000 ππΎ
View attachment 2597922
Royal class 100, 000ππΎ
View attachment 2597923
Kwa taarifa za haraka chombo kipo njiani kwenda jijini Dar kwa sasa na kinarudi kulala Unguja, so nadhani kesho asubuhi kinang'oa nanga kuelekea Dar Es Salaam.Safi sana Mkuu..Hongera Azam......Weka ratiba ya wiki nzima hapa...
Niko hapa nangoja kuona kometi za matusi,sababu baadhi ya watanzania umasikini wao unawatuma kuchukia matajiri walipa kodi na kutoa ajiri kwa watanzania wenzetu wakidhani kuwa chukia matajiri itakuwa sababu yao kutoka kwenye lindi la ufukara na kuwa matajiri[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Nimepata hii picha chombo kikielekea kuzinduliwa.
Kwa ufupi ni boat mpya inayokuja kuendelea kutoa huduma kati ya Zanzibar na Dar Es Salaam.
Chombo kinaondoka kwa mara ya kwanza Bandari ya malindi saa 06;30 kuelekea Dar Es Salaam, nauli zitakuwa kama ifuatavyo.
Economy 30,000 [emoji1484]View attachment 2597920
VIP 60,000 [emoji1484]
View attachment 2597922
Royal class 100, 000[emoji1484]
View attachment 2597923
Kwa upande mwingine hawa matajiri nao wanatuchanganya sana mkuu.Niko hapa nangoja kuona kometi za matusi,sababu baadhi ya watanzania umasikini wao unawatuma kuchukia matajiri walipa kodi na kutoa ajiri kwa watanzania wenzetu wakidhani kuwa chukia matajiri itakuwa sababu yao kutoka kwenye lindi la ufukara na kuwa matajiri[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Chombo ya fundiNimepata hii picha chombo kikielekea kuzinduliwa.
Kwa ufupi ni boat mpya inayokuja kuendelea kutoa huduma kati ya Zanzibar na Dar Es Salaam.
Chombo kinaondoka kwa mara ya kwanza Bandari ya malindi saa 06;30 kuelekea Dar Es Salaam, nauli zitakuwa kama ifuatavyo.
Economy 30,000 ππΎView attachment 2597920
VIP 60,000 ππΎ
View attachment 2597922
Royal class 100, 000ππΎ
View attachment 2597923
Kama dewji na simbaKwa upande mwingine hawa matajiri nao wanatuchanganya sana mkuu.
Nilikuwa namsikiliza mmoja wa wanafamilia wa Bakhresa anaitwa Abdalah alipokuwa anaongea kuna sehemu kasema; 'pamoja na kununua hii vyombo bado wanapata hasara π!.