Ningeshauri wapewe udaktari wa heshima raia wote wanaohangaika kutengeneza dawa za Corona asilia, wao ndio wanamchango mkubwa zaidi kwa jamii kuliko huyo alieandika hukumu kiswahili.
Sasa hivi tanzania kuna ufumbuzi wa zaidi ya dawa asilia 1,000 za Covid 19 zinazopigiwa Promo. So unaweza kushangaa zikatakiwa kutolewa "DOCTORATE ZA HESHIMA" kwa raia 3,500 nchi nzima. Mpaka Corona iishe raia wanaweza kufika 5,000 wenye Doctorate Za Heshima. Alievumbuwa "NYUNGU" apewe u "PROFESSOR" kabisa.
Ila chonde chonde kuna siku tutakuja kunyweshana sumu.