Uchaguzi 2020 Hii hapa Ilani ya CCM inayofuta mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti

Uchaguzi 2020 Hii hapa Ilani ya CCM inayofuta mafunzo ya Ualimu ngazi ya Cheti

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Kwenu Umoja wa walimu Tanzania, Mnafiki hajifiki, wenye akili tunajua mpaka Naibu katibu aliweka wazi maana yake Katibu, naibu waziri, waziri, waziri mkuu, Rais, na Chama cha Mapinduzi (CCM) wote wanajua.

KAMA KWELI MAGUFULI ANA MAPENZI NA WALIMU, MWAMBIENI AONDOE HIKI KIPENGELE AMBACHO KINATAMKA WAZI KUANZISHA STASHAHADA NGAZI YA MSINGI.

Maana yake ni kwamba, ualimu ngazi ya cheti INAFUTWA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtaji wa CCM ni ujinga na wajinga ndio waliwao.

WaTZ wavivu wa kusoma. Haya, wasaidieni hawa Walimu kwa kuwasambazia Hii kitu[emoji116]

IMG_20201006_090936_175.jpg
 
Kwani ni wapi wamesema walimu wenye ngazi ya cheti wanaondolewa?
 
Dr Ave Marie Semakafu kaonewa, ilani ya chama inaelekeza hivyo... sio kwamba Katibu Mkuu na mawaziri hawalijui hilo.

Kosa lake ni kutekeleza kabla ya uchaguzi, huku wakijua uwezekano wa kushinda ni mdoooogo sana!
 
Kuna ubaya gani kupandisha kiwango cha mwalimu? Mpaka miaka ya 80 kulikuwa na waalimu waliokuwa wakiitwa waalimu wa UPE. Hawa walikuwa wamemaliza shule ya msingi na walikuwa wakitumiwa kufundisha shule za msingi. Serikali ikaona si vyema mtu aliyefuzu shule ya msingi tu afundishe shule ya msingi.

Daraja la ualimu huo likafutwa na ikawa kwamba walimu wa shule ya msingi wawe wamehitimu Form 4. Hii ni sawa kabisa. Kwa hiyo wazo la kumtaka mwalimu awe na stashahada ni la kupongezwa kwa kuwa litaboresha elimu. Kitu ambacho kitafanyika ni kwamba kuajiriwa ualimu itabidi uwe na stashahada.

Waliopo kazini bila kuwa na stashahada wataendelea kuwa kazini mpaka kustaafu na watarithiwa na wenye stashahada. Hivyo ndivyo ilivyofanyika kwa waalimu wa UPE. Hili ni jambo la kupongezwa kwa kuwa litaboresha elimu.
 
Kuna ubaya gani kupandisha kiwango cha mwalimu? Mpaka miaka ya 80 kulikuwa na waalimu waliokuwa wakiitwa waalimu wa UPE. Hawa walikuwa wamemaliza shule ya msingi na walikuwa wakitumiwa kufundisha shule za msingi...
Kama lengo ndio hilo.

Kwann amemtumbua?"
 
"Never outshine your master"

Hilo ndio kosa alilolifanya Dr. Ave Maria
Kuna ubaya gani kupandisha kiwango cha mwalimu? Mpaka miaka ya 80 kulikuwa na waalimu waliokuwa wakiitwa waalimu wa UPE. Hawa walikuwa wamemaliza shule ya msingi na walikuwa wakitumiwa kufundisha shule za msingi. Serikali ikaona si vyema mtu aliyefuzu shule ya msingi tu afundishe shule ya msingi. Daraja la ualimu huo likafutwa na ikawa kwamba walimu wa shule ya msingi wawe wamehitimu Form 4. Hii ni sawa kabisa. Kwa hiyo wazo la kumtaka mwalimu awe na stashahada ni la kupongezwa kwa kuwa litaboresha elimu. Kitu ambacho kitafanyika ni kwamba kuajiriwa ualimu itabidi uwe na stashahada. Waliopo kazini bila kuwa na stashahada wataendelea kuwa kazini mpaka kustaafu na watarithiwa na wenye stashahada. Hivyo ndivyo ilivyofanyika kwa waalimu wa UPE. Hili ni jambo la kupongezwa kwa kuwa litaboresha elimu.

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Yule...nae atakuwa na sifa za waropokaji..haiwekani kitu anakijua na amekiidhinisha mwenyewe..aje kukikana mbele ye WATU ambao.ameshirikiana nao.

Atakua na upumbafu yule Sio bure.
 
Kwenu Umoja wa walimu Tanzania, Mnafiki hajifiki, wenye akili tunajua mpaka Naibu katibu aliweka wazi maana yake Katibu, naibu waziri, waziri, waziri mkuu, Rais, na Chama cha Mapinduzi (CCM) wote wanajua.

KAMA KWELI MAGUFULI ANA MAPENZI NA WALIMU, MWAMBIENI AONDOE HIKI KIPENGELE AMBACHO KINATAMKA WAZI KUANZISHA STASHAHADA NGAZI YA MSINGI.

Maana yake ni kwamba, ualimu ngazi ya cheti INAFUTWA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mtaji wa CCM ni ujinga na wajinga ndio waliwao.

WaTZ wavivu wa kusoma. Haya, wasaidieni hawa Walimu kwa kuwasambazia Hii kitu[emoji116]

View attachment 1591872
Katengua ilani
 
Back
Top Bottom