Idimi JF-Expert Member Joined Mar 18, 2007 Posts 15,328 Reaction score 11,192 Oct 6, 2020 #21 wa hapahapa said: Wamemtoa kafara... Mi nilijua wakutumbuliwa Ni waziri au katibu na sio naibu katibu... Click to expand... Ndalichako angetumbuliwaje wakati hajaandika yeye ile barua? Sema Dr. Semakafu hakujiongeza. Angesubiri uchaguzi upte kwanza ndipo atoe tamko kama lile. Kwa sasa hali ilivyo tense lile tangazo halina afya kwa wanasiasa waomba kura!
wa hapahapa said: Wamemtoa kafara... Mi nilijua wakutumbuliwa Ni waziri au katibu na sio naibu katibu... Click to expand... Ndalichako angetumbuliwaje wakati hajaandika yeye ile barua? Sema Dr. Semakafu hakujiongeza. Angesubiri uchaguzi upte kwanza ndipo atoe tamko kama lile. Kwa sasa hali ilivyo tense lile tangazo halina afya kwa wanasiasa waomba kura!
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 25,725 Reaction score 78,589 Oct 6, 2020 Thread starter #22 PTER said: Nchi inaongozwa kwa mizuka siyo sera na ilani. Wewe hujasikia mangapi wameyakataa wakati yako kwenye ilani yao ? Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app Click to expand... Aahhh natengua kauli. Bora wee mwana CCM unajielewa. Nchi ya CCM inaongozwa kwa MIZUKA
PTER said: Nchi inaongozwa kwa mizuka siyo sera na ilani. Wewe hujasikia mangapi wameyakataa wakati yako kwenye ilani yao ? Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app Click to expand... Aahhh natengua kauli. Bora wee mwana CCM unajielewa. Nchi ya CCM inaongozwa kwa MIZUKA