Sabaya anaendeleaje?Gaidi , uzuri Samia atatoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabaya anaendeleaje?Gaidi , uzuri Samia atatoka.
Mji wa wapi mkuu?Mwambie Sabaya yupo mjini , sa hv mwenyekiti yanagonga chupi yanarudi😁
Hatumii pombe kali?!Una mawazo ya kijinga sana !
yeah, kina Abubakar Masawe.Machame Waislamu ndio Wengi by mchungaji Mastahi
Wenyewe wanasema mwamba anawavusha; kuvuka kuelekea wapi? Hakuna mwenye maelezo.Kitabu cha huyu "mwamba" kiko kwenye sura ya mwisho.
Ni vizuri kuanza sura mpya katika kitabu kipya.
Unauliza ujinga ili iweje ?Hatumii pombe kali?!
Kwa umaskini wako wa akili unaona unaulizwa ujinga; poor you!Unauliza ujinga ili iweje ?
Msimuaribie mfungo sheikh freemanNdio kama mnavyoona wenyewe , hapa Mwamba kama kawaida yake akiunga mkono Waumini wa dini ya Kiislam kwenye futari .
Kuna mzungu mmoja alikuja siku Moja akaanza kunipa stori za tofauti kati ya Waislamu na Wakristo Tanzania. Nikamwambia wewe sio wakuniambia habari za Bongo; Mimi ndio nikueleze: Tanzania hatuulizi Dini Wala kabila, hatutambiki!!! Nikamwambia sisi kwetu Kwaresma, Ramadhan, Pasaka, Eid el fitr, Christmas zoote ni zetu, hatujali! Hiyo ndio Tanzania!yeah, kina Abubakar Masawe.
You must be writing under influence.Kuna mzungu mmoja alikuja siku Moja akaanza kunipa stori za tofauti kati ya Waislamu na Wakristo Tanzania. Nikamwambia wewe sio wakuniambia habari za Bongo; Mimi ndio nikueleze: Tanzania hatuulizi Dini Wala kabila, hatutambiki!!! Nikamwambia sisi kwetu Kwaresma, Ramadhan, Pasaka, Eid el fitr, Christmas zoote ni zetu, hatujali! Hiyo ndio Tanzania!
No, it's a true story! Tanzania is a shining example when it comes to religious harmony!. Many cannot comprehend how respectful we are to each other when it comes to faith!You must be writing under influence.