Hii hapa ni picha kali ya Wiki hii ya Ustaadh Aboubakar Mbowe

Hii hapa ni picha kali ya Wiki hii ya Ustaadh Aboubakar Mbowe

Kitabu cha huyu "mwamba" kiko kwenye sura ya mwisho.

Ni vizuri kuanza sura mpya katika kitabu kipya.
 
Kitabu cha huyu "mwamba" kiko kwenye sura ya mwisho.

Ni vizuri kuanza sura mpya katika kitabu kipya.
Wenyewe wanasema mwamba anawavusha; kuvuka kuelekea wapi? Hakuna mwenye maelezo.
 
yeah, kina Abubakar Masawe.
Kuna mzungu mmoja alikuja siku Moja akaanza kunipa stori za tofauti kati ya Waislamu na Wakristo Tanzania. Nikamwambia wewe sio wakuniambia habari za Bongo; Mimi ndio nikueleze: Tanzania hatuulizi Dini Wala kabila, hatutambiki!!! Nikamwambia sisi kwetu Kwaresma, Ramadhan, Pasaka, Eid el fitr, Christmas zoote ni zetu, hatujali! Hiyo ndio Tanzania!
 
Kuna mzungu mmoja alikuja siku Moja akaanza kunipa stori za tofauti kati ya Waislamu na Wakristo Tanzania. Nikamwambia wewe sio wakuniambia habari za Bongo; Mimi ndio nikueleze: Tanzania hatuulizi Dini Wala kabila, hatutambiki!!! Nikamwambia sisi kwetu Kwaresma, Ramadhan, Pasaka, Eid el fitr, Christmas zoote ni zetu, hatujali! Hiyo ndio Tanzania!
You must be writing under influence.
 
Back
Top Bottom