Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Vipi mkuu kama haujaiona timu yako hapo huenda ikawa ya kumi na tatu huko endelea kuitafuta utaiona.
ikatavyo kuwa❌Bila kupepesa macho hii ndio yop four ya nbc premier league ikatavyo kuwa.
Simba
Azam
Singida
Geita
2022/20232021/2022 au ni 2022/2023?
kwenye kichwa cha habari umeandika hivyo? au mkurupuko pro max?2022/2023
vyote kwa pamojaHivi mapenzi yakizidi ni upofu au ujinga?
Kitu Cha Arusha kimeanza kuzaa matundaBila kupepesa macho hii ndio yop four ya nbc premier league ikatavyo kuwa.
Simba
Azam
Singida
Geita
Msimu wa 23/24 huyo namba 4 atashuka daraja kuungana na mbeya kwanza.Yanga SC
Singida Big Stars FC
Azam FC
Simba
Ihefu
Na utoto +ujinga na upambavu. Watu wanamcheka,wakati aliona ya kijanjaHivi mapenzi yakizidi ni upofu au ujinga?
MbumbumbuHivi mapenzi yakizidi ni upofu au ujinga?