micky massawe
Member
- Jan 30, 2014
- 29
- 4
Namaliza mwaka mzima mitaa sasa bila ajira kutoka..cjui kama nakumbuka tena kufundisha...hii Ndo Tanzania yetu...
Usijali! kesho utakua na furaha sana, amini ninachokuambia mwalimu mwenzangu, AJIRA TAR 26 FEB.
Kujiajiri muhimu saaana ...hv ni dharau au ni nn?? Mbona vitengo vingine wametangaza ajira?? Ni nn hcho wanachokipanga tokea mwez wa tano mwaka Jana hakijakamilika??? Binafsi Mm nlikua navumilia tu nikijua ni February lakini nimezinduka kuona February inapita....BC huku kitaa wanaambiana huenda nilifeli..