Hii Homa ya nyani(Monkey Pox) inaleta vibes za Corona

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
kinachotisha ni kwamba wanasema, kwenye hizo case 511 za vifo, asilimia kubwa ni watu walio chini ya umri wa 18

kwahiyo hii inaweza somba watoto kama corona ilivyosomba wazee
 
Hatari sana ila raundi hii sichanji


#ponda mali kufa kwaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…