utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Acheni visingizio nyie, mpira unachezwa hadharani na wote tumeuona, yaani iyo tahadhari ndio inapelekea hata kupiga pasi mbili washindwe? kusema ukweli Simba Leo imefungwa na timu mbovu sana sijawahi kuona.Hawa ni mabingwa mara 8 mfululizo wa Guinea na kwa hapa Africa Guinea nawaweka level moja na Senegal, Ghana na Cameroon kwenye viwango.
Game ya leo kila mmoja alikuwa anamuogopa mwenzake kwa hiyo wakawa wanacheza kwa tahadhari, hii ni ligi ya wanaume miamba wa Africa.