Hii Horoya imeingiaje Makundi ya Cafcl ? Mbona ni timu hovyo sana

Acheni visingizio nyie, mpira unachezwa hadharani na wote tumeuona, yaani iyo tahadhari ndio inapelekea hata kupiga pasi mbili washindwe? kusema ukweli Simba Leo imefungwa na timu mbovu sana sijawahi kuona.
 
Acheni visingizio nyie, mpira unachezwa hadharani na wote tumeuona, yaani iyo tahadhari ndio inapelekea hata kupiga pasi mbili washindwe? kusema ukweli Simba Leo imefungwa na timu mbovu sana sijawahi kuona.

Kacheze wewe Sasa
 
Hawa wangekutana na raja[emoji848][emoji848][emoji848] wangelambishwa dazan.. Leo Zimekutana timu zote mbovu, ila maajabu Ile mbovu zaidi ndio imepata ushindi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Acheni visingizio nyie, mpira unachezwa hadharani na wote tumeuona, yaani iyo tahadhari ndio inapelekea hata kupiga pasi mbili washindwe? kusema ukweli Simba Leo imefungwa na timu mbovu sana sijawahi kuona.
Sawaa. Muulize mwenzio redio akwambie kuhusu hiyo Horoya
 
Wale jamaa leo walikuwa na bahati. Ila mipira hii ya juu jamaa wapo vizuri, sema upande mwengine wapo hovyo.
 
kwakweli ni bahati tu simba iliwazidi kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…