Hii iko sawa kweli?

Hii iko sawa kweli?

Cytochrome p450

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2019
Posts
5,638
Reaction score
15,044
Hivi hii imekaaje?

Kuna jamaa yangu nilikuwa namdai ni muda sasa, yaani naweza sema ni mdaiwa sugu.

Sasa jana usiku ameunda Group la WhatsApp na kutu"add" watu woote tunaomdai, Group linaitwa "WADENI WANGU".

Eti humo ndio atakuwa anatupa feedback kwa pamoja, maana anapata tabu tumjulisha mmoja mmoja.

Watu mishahara ikisoma wanakuwa na mbwembwe sana!

Imekaaje hii wadau? Au ni"left" tu?
 
Left ukose hela yako, ndo matatizo ya kutumia wasapu ndo maana mitandao mengine huwa naitupilia mbali kuepuka mengi, nashangaa wengine hutumiana hadi vijembe! Maisha sio sehemu ya kuja kupeana tabu kila mtu aishi na kujipa raha vile awezavyo.
 
Usileft sasa ukileft feedback utazipataje au hutaki kulipwa. Baki ili ujue wewe ni wa ngapi kwenye orodha ya wanaolipwa

Hapa Hashim Rungwe pale group la wadeni. Hii nchi sihami hata iweje[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom