Kasema nyekunduUshawahi kutumia ilo gari au Leo ndio siku ya kwanza?
Una uhakika umewekewa lita 10? Au umepigwa?
Taa ya njano au nyekundu?
Na nyie wa premio mnalalamika mafuta tena?Wakuu ninatumia premio f , cc ndogo 1490, kwa sifa nilizowah kusikia kuhusu gari hii upande wa matumizi ya mafuta ni mdogo kama vile ist, ila kinachonishangaza nimeweke lita 10 ( mafuta ya elf 30,000) ile Taa nyekundu kwenye Dash board inawaka mda wote, mpaka gari ikanizimikia na nimetumia mafauta hayo kwa kutembea takriban KM 20 Tu. Shida nini hapo haswa mbona sion ile sifa ya kuwa na low fuel consuption. Nawasilisha naiman ya kupata majibu mazuri kwenu.
Wakuu ninatumia premio f , cc ndogo 1490, kwa sifa nilizowah kusikia kuhusu gari hii upande wa matumizi ya mafuta ni mdogo kama vile ist, ila kinachonishangaza nimeweke lita 10 ( mafuta ya elf 30,000) ile Taa nyekundu kwenye Dash board inawaka mda wote, mpaka gari ikanizimikia na nimetumia mafauta hayo kwa kutembea takriban KM 20 Tu. Shida nini hapo haswa mbona sion ile sifa ya kuwa na low fuel consuption. Nawasilisha naiman ya kupata majibu mazuri kwenu.Hapo kuna maswali
Umepigwa hukohuko sheliWakuu ninatumia premio f , cc ndogo 1490, kwa sifa nilizowah kusikia kuhusu gari hii upande wa matumizi ya mafuta ni mdogo kama vile ist, ila kinachonishangaza nimeweke lita 10 ( mafuta ya elf 30,000) ile Taa nyekundu kwenye Dash board inawaka mda wote, mpaka gari ikanizimikia na nimetumia mafauta hayo kwa kutembea takriban KM 20 Tu. Shida nini hapo haswa mbona sion ile sifa ya kuwa na low fuel consuption. Nawasilisha naiman ya kupata majibu mazuri kwenu.
Hahah hahah hahah 😆 🤣 😅 😂Na nyie wa premio mnalalamika mafuta tena?
Napinga mkuu,Wakuu ninatumia premio f , cc ndogo 1490, kwa sifa nilizowah kusikia kuhusu gari hii upande wa matumizi ya mafuta ni mdogo kama vile ist, ila kinachonishangaza nimeweke lita 10 ( mafuta ya elf 30,000) ile Taa nyekundu kwenye Dash board inawaka mda wote, mpaka gari ikanizimikia na nimetumia mafauta hayo kwa kutembea takriban KM 20 Tu. Shida nini hapo haswa mbona sion ile sifa ya kuwa na low fuel consuption. Nawasilisha naiman ya kupata majibu mazuri kwenu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaaaah haya bhanaNa nyie wa premio mnalalamika mafuta tena?
Hii ishawahi kunikuta , umakini inahitajika kweliMuwe makini mnapoenda kujaza mafuta kwenye kituo chochote. Tatizo wengine mkishatoa maelekezo ndio mnatoa smart phone zenu nakuwa busy na "nini kinaendelea huku mitandaoni". Mjanja kwanini asikupige hapo kama hufuatilii?
Muwe makini mnapoenda kujaza mafuta kwenye kituo chochote. Tatizo wengine mkishatoa maelekezo ndio mnatoa smart phone zenu nakuwa busy na "nini kinaendelea huku mitandaoni". Mjanja kwanini asikupige hapo kama hufuatilii?
Hata mimi ilishanitokea, now nikienda kituo cha kujaza mafuta macho yangu yote kwenye kusoma amount bar na kiasi cha mafuta kilichoingia kwenye tank. Pia ilishwahi kutokea tena hivi karibuni tu, nimemwambia "Elfu saba" ye akaweka 17k, nampa elf 10 ananiambia ongeza hela kaka. Nikamwambia nimekwambia weka ya elf 7 kama unaweza yatoe hayo yaliozidi mimi sina hela ya ziada, tena hiyo chenji ni yakula. Dereva wa gari ya nyuma akawa anasumbua kwakupiga honi ili nimpishe, mi nikaamua kuondoka bila chenji na sijampelekea hiyo hela mpaka leoHii ishawahi kunikuta , umakini inahitajika kweli
Umepigwa jombaa. Siku ingine kuwa makini na wadada wa sheli😂😂Wakuu ninatumia premio f , cc ndogo 1490, kwa sifa nilizowah kusikia kuhusu gari hii upande wa matumizi ya mafuta ni mdogo kama vile ist, ila kinachonishangaza nimeweke lita 10 ( mafuta ya elf 30,000) ile Taa nyekundu kwenye Dash board inawaka mda wote, mpaka gari ikanizimikia na nimetumia mafauta hayo kwa kutembea takriban KM 20 Tu. Shida nini hapo haswa mbona sion ile sifa ya kuwa na low fuel consuption. Nawasilisha naiman ya kupata majibu mazuri kwenu.