MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 283
- 384
Wakuu ninatumia Premio f , cc ndogo 1490, kwa sifa nilizowahi kusikia kuhusu gari hii upande wa matumizi ya mafuta ni mdogo kama vile ist, ila kinachonishangaza nimeweke lita 10 ( mafuta ya elf 30,000) ile Taa nyekundu kwenye Dash board inawaka muda wote, mpaka gari ikanizimikia na nimetumia mafuta hayo kwa kutembea takriban KM 20 Tu.
Shida nini hapo haswa mbona sion ile sifa ya kuwa na low fuel consuption. Nawasilisha naiman ya kupata majibu mazuri kwenu.
Shida nini hapo haswa mbona sion ile sifa ya kuwa na low fuel consuption. Nawasilisha naiman ya kupata majibu mazuri kwenu.