Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 221
- 542
Kuna haja gani ya kuchangisha watumishi pesa ili mitungi ya gesi inunuliwe kwa pesa za watumishi kwa lengo la kutengeneza taswira kuwa mama katoa zawadi ya mitungi ya gesi kwa wananchi.
Kama mpango wa mwaka huu katika siku ya wanawake ilikuwa ni kutoa mitungi ya gesi kwanini hiyo budget isiandaliwe chini ya budget ya Ikulu ili lengo litimie?
Muda wa ku fake maisha umeisha, kama ni kweli siyo wewe Rais ulowatuma hawa viongozi wa Muleba kunyanyasa watumishi kwajili ya wewe kutimiza lengo lako, please toa tamko kabla ya tarehe 8 kuhusu jambo Ili, tuma TAKUKURU wachunguze jambo Ili isijekuta kuna baadhi ya watu wanataka kupiga pesa kwa kigezo cha maagizo ya Rais kuchangiwa mitungi Ili aje kufanya show off kwenye siku ya wanawake duniani.
Kama mpango wa mwaka huu katika siku ya wanawake ilikuwa ni kutoa mitungi ya gesi kwanini hiyo budget isiandaliwe chini ya budget ya Ikulu ili lengo litimie?
Muda wa ku fake maisha umeisha, kama ni kweli siyo wewe Rais ulowatuma hawa viongozi wa Muleba kunyanyasa watumishi kwajili ya wewe kutimiza lengo lako, please toa tamko kabla ya tarehe 8 kuhusu jambo Ili, tuma TAKUKURU wachunguze jambo Ili isijekuta kuna baadhi ya watu wanataka kupiga pesa kwa kigezo cha maagizo ya Rais kuchangiwa mitungi Ili aje kufanya show off kwenye siku ya wanawake duniani.